Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,533
- 35,036
- Thread starter
- #41
Story yake imefubaa baada ya raisi kuwa mjane!yaani kama vile hakijatokea kitu!
Story yake imefubaa baada ya raisi kuwa mjane!yaani kama vile hakijatokea kitu!
Na nani, na nini? daktari, jazilizia nyama kidogo!Wabamizwa
Unamaanisha nini?Jitambulishe basi na ID yako ya zamani, au ni secretarybird au KERATO MOMBAA mmeamua kuja kivingine?
Ndiyo maana ShesRise_1 alikupiga ban kumuongelea, hebu niunganishe na hiyo ban yake na ujitahidi kukaa mbali sana na mimi!Ulehaya maneno madimu sana mwanike, unene nakutogilwe ubebe duhu,
When you were gone, I prayed day and night to Atleast get a glimpse of you.. Welcome back my love 😍
Mbona kamkono mdomoni bro, toka lini umeanza habari za kuoneana aibu?🤭🤭🤭 Niko poa
Acha nikae kimya! Nikitia neno nitaonekana m'baya😂Long time ulienda wapi?
Eti inasemekana de Gunner anayasambaza mtaani kuwa mimi na wewe tunamilikiwa na yeye na kwamba ametuonea huruma sisi sio type yake 😩
Kuna mambo mtaani. (Kwa sauti ya Diamond)
Humu ndani bwana 😁😁 kama ulivyosema hapo juu unaweza kujikuta umejiingiza kwenye ugomvi mbao huujui, kisa umejiunga kwenye kakikundi ambako hata wewe hujui kwamba ni kakikundiMissing u so badd sissy..😍
humu ndani mambo ni mob, and yeah nilipigwa ban wenye kuhitaji nafasi hiyo ofcourse wali party kama kawaida yao! Huku ndani mama njoo jifurahishe na wanaocheka na wewe, toka zako!
Ukijichanganya sana especially na hii gender 🐱 utashangazwa! Out of air utanuniwa, utajikuta kwenye kakikundi ka kipuuzi like mnamgombea mtu wakati u r here for fun! Na kuna kausenge wakikuona huandamani na id fulani wanajiunga nayo, without knowing anything behind!
Wengine ndio hao multiple za kisenge na ukisema this psycho is dead to me anakujia na multiples lukuki, ni kama anatumwa hivi.. I don’t reply shit! yani vichekesho tu kama machokoraa vile😎
Kuwa makini mamaa hakuna rafiki yako humu! Am out🤸🏽♂️
😂😂😂 Usitie.Acha nikae kimya! Nikitia neno nitaonekana m'baya😂
Nilikua nafanya tafiti ya vitendo kuhusu orgasm, nime-explore a new frontier nikawa sitaki kabisa kurudi huku duniani kwa hawa wamatumbi.Long time ulienda wapi?
The only place anaweza kutumiliki ni ndotoni, akiamka anajikuta kakumbatia mbupu zake anapata makasiriko anakuja kuandika manyuzi yake ya hovyo hovyo humu!Eti inasemekana de Gunner anayasambaza mtaani kuwa mimi na wewe tunamilikiwa na yeye na kwamba ametuonea huruma sisi sio type yake 😩
Kuna mambo mtaani. (Kwa sauti ya Diamond)
Sasa nyie mnaniacha mm nifanye je sasa,Ndiyo maana ShesRise_1 alikupiga ban kumuongelea, hebu niunganishe na hiyo ban yake na ujitahidi kukaa mbali sana na mimi!
Exactly in the spirit realm tumeshaoana kabisa... Bado manifestation ya physical realm. 😎The only place anaweza kutumiliki ni ndotoni, akiamka anajikuta kakumbatia mbupu zake anapata makasiriko anakuja kuandika manyuzi yake ya hovyo hovyo humu!
Mimi nimepakaza maneno gani tena?Sasa nyie mnaniacha mm nifanye je sasa,
Imagine binti kiziwi kanifukuzia mrembo wangu na kuifanya nia yangu kwa ShesRise_1 kuota mabawa na pia ephen_ kunipakazia stori za uongo ili mradi tu mm na wewe uhusiano wetu ubomoke..
Mwanike, our souls are intertwined.. No one can separate the two of us. You know that too.
Dunia haina hurumaMimi nimepakaza maneno gani tena?
Moja baada ya jingine utayajua yote!
Anapenda nini 😆😆😲, daaah 😂Siku hizi amebadilika sana acha tu! Kuna siku kaanzisha uzi anapenda harufu ya k uzi ukaenda na maji!
Kwamba sisi si wanawake au sisi tuombe nini sasa?Amesema sisi sura za baba hakuna kuomba pesa😆
Dunia inaenda kasi sana 😂Mwenyewe siku hizi simuelewi kabisa🤣
leo dada alitupa mambo yake!!!!!!! Anapenda sana ukuni hasa akiona hela!!!!!!!!!ila naomba mniwekeeni hapa nyuzi zenye tija
Kwa hiyo pesa heshima, 😁😁
Anyway, tuseme umempata mtu wa kukutupia hata 100m ila kuna tetesi ana grid, na kwako amekuwa specific kabisa anataka kavu. Unachukua au unatema bungo?
Hukunielewa dada.
Hapo nilimjibu alieleta ushauli kwa wanaume tujifunze kuhonga.
Ndio maana nikasema stori ni nzuri jukwaani ila sio katika jamii.
Mfano leo unaweza kumshauli binti yako atumie k yake kupata vitu kwa wanaume eti kwa kuwa wewe uliitumia? Hio ndio upende wa jamii.
labda wewe bado mtoto!!! unaweza kumnyima kyuma mwanaume akikutupia hapo 20m cash???Hukumpenda ulitamani hela zake...ungempenda kiukweli usingempa mwarabu maku Nairobi
Hichi kikundi ni cha wachamba umbea,Humu ndani bwana 😁😁 kama ulivyosema hapo juu unaweza kujikuta umejiingiza kwenye ugomvi mbao huujui, kisa umejiunga kwenye kakikundi ambako hata wewe hujui kwamba ni kakikundi
Aiseee noma sana so Dogo Pusi ataisikia redioni tu??The only place anaweza kutumiliki ni ndotoni, akiamka anajikuta kakumbatia mbupu zake anapata makasiriko anakuja kuandika manyuzi yake ya hovyo hovyo humu!
Alikuwa anashindana na boss wakeDuuh, alifanyaje tena?