Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Ulehaya maneno madimu sana mwanike, unene nakutogilwe ubebe duhu,

When you were gone, I prayed day and night to Atleast get a glimpse of you.. Welcome back my love 😍
Ndiyo maana ShesRise_1 alikupiga ban kumuongelea, hebu niunganishe na hiyo ban yake na ujitahidi kukaa mbali sana na mimi!
 
Missing u so badd sissy..😍

humu ndani mambo ni mob, and yeah nilipigwa ban wenye kuhitaji nafasi hiyo ofcourse wali party kama kawaida yao! Huku ndani mama njoo jifurahishe na wanaocheka na wewe, toka zako!

Ukijichanganya sana especially na hii gender 🐱 utashangazwa! Out of air utanuniwa, utajikuta kwenye kakikundi ka kipuuzi like mnamgombea mtu wakati u r here for fun! Na kuna kausenge wakikuona huandamani na id fulani wanajiunga nayo, without knowing anything behind!

Wengine ndio hao multiple za kisenge na ukisema this psycho is dead to me anakujia na multiples lukuki, ni kama anatumwa hivi.. I don’t reply shit! yani vichekesho tu kama machokoraa vile😎

Kuwa makini mamaa hakuna rafiki yako humu! Am out🤸🏽‍♂️
Humu ndani bwana 😁😁 kama ulivyosema hapo juu unaweza kujikuta umejiingiza kwenye ugomvi mbao huujui, kisa umejiunga kwenye kakikundi ambako hata wewe hujui kwamba ni kakikundi
 
Long time ulienda wapi?
Nilikua nafanya tafiti ya vitendo kuhusu orgasm, nime-explore a new frontier nikawa sitaki kabisa kurudi huku duniani kwa hawa wamatumbi.
Eti inasemekana de Gunner anayasambaza mtaani kuwa mimi na wewe tunamilikiwa na yeye na kwamba ametuonea huruma sisi sio type yake 😩
The only place anaweza kutumiliki ni ndotoni, akiamka anajikuta kakumbatia mbupu zake anapata makasiriko anakuja kuandika manyuzi yake ya hovyo hovyo humu!
Kuna mambo mtaani. (Kwa sauti ya Diamond)
Saints And Sinners Reaction GIF by Bounce.gif


Acha tu 😆
 
Ndiyo maana ShesRise_1 alikupiga ban kumuongelea, hebu niunganishe na hiyo ban yake na ujitahidi kukaa mbali sana na mimi!
Sasa nyie mnaniacha mm nifanye je sasa,


Imagine binti kiziwi kanifukuzia mrembo wangu na kuifanya nia yangu kwa ShesRise_1 kuota mabawa na pia ephen_ kunipakazia stori za uongo ili mradi tu mm na wewe uhusiano wetu ubomoke..

Mwanike, our souls are intertwined.. No one can separate the two of us. You know that too.
 
Sasa nyie mnaniacha mm nifanye je sasa,


Imagine binti kiziwi kanifukuzia mrembo wangu na kuifanya nia yangu kwa ShesRise_1 kuota mabawa na pia ephen_ kunipakazia stori za uongo ili mradi tu mm na wewe uhusiano wetu ubomoke..

Mwanike, our souls are intertwined.. No one can separate the two of us. You know that too.
Mimi nimepakaza maneno gani tena?
 
Alooh hapa msibani kuna kuna pisi kali kali sana kama koo za kihabeshi hizi

Anyway karibu mshangazi.com wa jyfu mjomba wa mabuti alikuweka bize sana kipindi hiki
 
ila naomba mniwekeeni hapa nyuzi zenye tija
leo dada alitupa mambo yake!!!!!!! Anapenda sana ukuni hasa akiona hela!!!!!!!!!






 
Back
Top Bottom