binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,824
- 43,538
Kwishaaa hakuna shida hapo.Sasa mie nikawa muwazi nikamtaja aliyemkusudia
Si hamna shido hapo? 🤣
Nimeona mnazungumzia kikundi. Kiukweli na mimi nahitaji kijiji, mkipata kikundi mnichomeke, Nimegundua umbea mwingi wa humu huwa unanipiga kisa sina kijiji. 😩