Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

JF ya sasa bado ina hizi mambo kumbe

Nilidhani tuliyaacha 2016 - 2020 huko wakati ule nasikia watu wana vikundi vyao humu vya kukingiana vifua kwenye shida na raha 😂
Mlikuwa wa dhahabu, sasa ni full ushangingi😁
Sema mie sijui nina shida sehemu, miaka yote hii nimeshindwa kupata kakikundi hata kamoja ka kunitetea hata jinsia yangu tu? 🤣 kuna sehemu siko sawa
Wenzio wanavyo we unakwama mahala😂
Ifike mahali nipate hata ka-crush ka kugombaniana na watu wa humu kmmk
Crushie zangu mshamba_hachekwi na The Icebreaker nisiwaone mnacheka na jinsia inayojitambulisha kama ke humu 🤨
Hizi crush umezichagua kwa vigezo vipi? The ice breaker anachamba huyooo🫢

Ila hiyo crush ilikuwa utani tu jamani naona watu limewagusa mpaka wanataka kutoa siri zao za nje, sijui wanamtishia nani😆
 
Lamomy nakuomba sasa dada angu usinihusishe kwenye mambo nisiyojua

Sijui chochote
Narudia sijui chochote kuhusu hilo neno ililo ni quote na sitaki kujua

Sitaki maneno nitueni ndugu zangu 🙌
Sasa kama nikisema niseme nitasema mangapi?

Hakuna kitu siwezi na sipendi kama maneno na maugomvi

Kwa sababu ningetaka hivyo basi ningefanya zamani sana
Ningekua mdau ningefanya zamani sana ninayajua baadhi ya mambo ila sitaki kusema na sitasema

Kazi yangu humu jukwaani ni moja kufungua nyuzi zangu na kujifunza
Kusoma na kuburudika
Hayo mengine naombeni sana mnitoe sijui na sitaki kujua 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
😹😹😹😹

Wewe yule uliyemchamba fake p mpaka akaomba uwanja selfika au mwingine??

Em yaseme hayo unayoyajua ila hutaki kuyasema kwanza ndo tukutoe..!! 😹😹

Weyee bhana mambo unayajua em mwagika hapa utoe dukuduku mtaishi kwa kufumbiana mpaka lini? 😹
 
Kwishaaa hakuna shida hapo.

Nimeona mnazungumzia kikundi. Kiukweli na mimi nahitaji kijiji, mkipata kikundi mnichomeke, Nimegundua umbea mwingi wa humu huwa unanipiga kisa sina kijiji. 😩

Asee miaka hiyo ilikuwepo ID moja hivi
Nikikomenti jukwaani kuomba ubuyu wa jambo fulani tu, yeye anakuja PM kimya kimya na maelezo + links za uzi zenye details za ubuyu wenyewe 😂

Sijui alipotelea wapi yule reporter wangu

Kama huna kakikundi chochote kama mimi basi usifunge PM just in case kuna msamaria mwema 😂
 
Asee miaka hiyo ilikuwepo ID moja hivi
Nikikomenti jukwaani kuomba ubuyu wa jambo fulani tu, yeye anakuja PM kimya kimya na maelezo + links za uzi zenye details za ubuyu wenyewe 😂

Sijui alipotelea wapi yule reporter wangu
Dah huyu alikuwa mwana kabisa. Popote alipo arudi.

Kama huna kakikundi chochote kama mimi basi usifunge PM just in case kuna msamaria mwema 😂
Nimeshaijua siri, utekelezaji unafuta. 😀
 
Back
Top Bottom