Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Si mtoe madukuduku mioyo itulie sio kubwatuka na kuugulia moyoni aiseee 😹😹😹😹

Chambaneni kila mmoja amuheshimu mwenzie..!! Ila ushoga wa JF JAU SANA’A 😹

Kwahiyo mwenzenu kakomaa mbibi 😹😹 khaaaaa…!!
Au wewe ndiyo yule dada wa dukuduku na hatujui 😆
Unapenda sana umbea na ugomvi!
 
Kumbe mlikuwa mmekubuhu! Kwahiyo wa sasa wanajifunza😆

Kabisa!!

Moyo unataka kusuma mapenzi sio😂

Itabidi achangamke tule pilau dec kmmk😂

Wa sasa wapo TWISHENI
Wahenga wa vikundi enzi zile sio wa kitoto 😂

Moyo unasukuma maloveee tu kmmk 😂
 
Siku hizi napitwa na mengi
Huyo aliyekuwa ananiletea PM hayupo tena

Waliopo wanaojua kila kitu humu ni hawa kina Lamomy na mwenzake cocastic
Lakini ndo wanaongea kwa code haoooo kuelewa mtu kama mimi nayetumia JF kama burudani ni ngumu, sitaki kuumiza kichwa😂
😹😹😹 Wala hakuna code mambo ni yale yale ya kila siku, kubebeana mabwana na kila mmoja kutaka kuonekana yuko juu kuzidi mwenzie.. na urafiki wa kingese ndo chanzo kikuu 😹

Wanasemana pm eti wengine wazee kama vibibi 😹
 
Yule yupo sis
Nimetoka kumtaja majuzi tu hapa kwenye uzi fulani
Yule sasa ndio nyongo mkalia ini lakini hanitakagi

Last seen yake 26 mins ago 🤨
Naona siku hizi simuoni sana
Ila ana matatizo kwa nini hakutaki?
Anyway it's his loss 🤣🤣
 
Wa sasa wapo TWISHENI
Wahenga wa vikundi enzi zile sio wa kitoto 😂
I wish ningekuwepo zamani nahisi kama ningeparticipate vzr, sasa hivi nina adabu kidogo na mambo niyapendayo siyapati😎
Moyo unasukuma maloveee tu kmmk 😂
Hahahaha aisee moyo wako ni mkuu, mimi wangu unasukuma umbea at the moment🤣
 
Back
Top Bottom