Mama yako sindiyo huyu mshangazi hapa jf au ujui ...hua anasema analitoto zero brain linawaza mademu 24hoursWasalam wakuu.
Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..
I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.
Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....
Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee
Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...
Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Amesoma hadi ile ya kula tunda kimasihara. Anakuzoom tu π π πMama mzazi mkuu...
Leo nipo hapa namsindikiza akasema kuna movies flan hv anahitaji nimrushie ndo nipo natoa kwa hard disk nahamisha nikaona storage kama inazingua nikawa. Nachek app za kufuta ndo nakutana na mzigo wa jf umetulia front page aiseee
Wewe ndo uko negative yeye yupo positive kwasababu JF sio mtandao wa ngonoMr skutaka kuangalia yaliyomo kama ningejua unazani mda huu ningekua na hali gani
Usikute ulikaa na Binti Sayunii ungekoma kwa nyuzi,Kuficha kiswaswadu changu, huenda yule binti angekuja na Uzi hapa kusema ameniona Babu yake laivu laivu π
I know yuuSiyo Kila mtu new member
Mimi siamini kama wewe ni mzee kiasi hicho, najua unatupanga tuNdiyo maana binafsi tangu nimeanza kuitumia JF tangu ikiitwa Jambo Forum, sijawahi kuifungua mbele za watu achilia mbali ku-download App yake
Kuna Siku nilikuwa nasafiri kwa basi kutoka Dodoma kuja DSM kabla ya SGR, kutokana na addiction ya kutumia JF nikajikuta nime-Login.
Nilikuwa nimekaa na binti fulani around 27-32 hivi, Baada ya kuona yupo busy kutaka kujua ID niliyokuwa naitumia ikabidi haraka ni-Logout
Hachelewi kuja kusema humu amekutana na Mzee Grahams bure, na hivi ninavyotumia mkongojo kutembea π
Mimi sina tabia hiyo kabisa mkuuππUsikute ulikaa na Binti Sayunii ungekoma kwa nyuzi,
We ujajua maana ya butwaa et..?Ila Butwaa amewapiga wengi sana.
Hujamfungulia kesi ya shambulio.
Kuweni na Imani na Wazee MjukuuπMimi siamini kama wewe ni mzee kiasi hicho, najua unatupanga tu
Hahaha...........Kwa kweli ningekoma iwapo angejua ID yanguπUsikute ulikaa na Binti Sayunii ungekoma kwa nyuzi,
Hahaha..............ila Kuna watu wanaweza kumiliki ID mbili, Mimi hii moja pekee huwa Kuna muda nasahau nywila (password) πID mbili muhimu mkuu kuna muda inabidi tu iwe hivyo sio kwa nia mbaya.
Hongera babu, macho yanaona vizuri sasa au hadi uvae miwani?Kuweni na Imani na Wazee Mjukuuπ
Nimekula chumvi nyingi ujue π€
Hahaha...........hapa nilipo nimevaa miwani ya macho, na yale mambo mengine ya Vijana ndiyo nimepoteza kabisa uwezo nayo πHongera babu, macho yanaona vizuri sasa au hadi uvae miwani?
Butwaa hiyo imepiga watu wengi kumbe.Hahaha...........hapa nilipo nimevaa miwani ya macho, na yale mambo mengine ya Vijana ndiyo nimepoteza kabisa uwezo nayo π
πUkikuta imerudishwa ujue yumo kama wewe
Na wahuni wana m "CC"
Taila mwenyewewe hufai unaludisha nyuma juhudi za kuipaisha jf kimataifa kwanini umeiunstall sasa ? taila kweli wewe.jamiiforums ni kwa kila mtu
Hahaha...............kabisa Mkuu πButwaa hiyo imepiga watu wengi kumbe.