James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 9,529
- 16,236
Hahaaa...Sasa mamako kutumia jf kuna shida gani mkuu?
Au unamuona hana upeo wa kuchangia!
We jamaa ni mkorofi wa chini chiniHahaaa...
Wataalam wa falsafa ya lugha wataona hili kuwa ni tusi kwamba mama yake hana cognitive ya kuchangia mada humu. Lakini najua hukumaanisha hivyo hahaa
Hapana nimeongeza sauti tu ya kile huyo jamaa alichosemaWe jamaa ni mkorofi wa chini chini
Awezi bana mkuu bado sina uhakika kabisaaaaDuh! Hii mbona kali unaweza ukawa unamjibu kishujaa mother huku bila kujua. Atakuwa Madame B bila shaka.
Mawazo yako yapo tofauti sana mkuu, sishangai ndo maana unamshangaa mama kuwa hapa.Unaanza kukuza mambo..
We jamaa jau sana nakuona tuu unachowaza
shangaa na weweKwani JF Ina mipaka ya umri hadi umshangae huyo,mamaako?!!
Kuweni na Imani na Wazee π€Mzee nilijua mambi ya hovyo ushaacha
Kuficha kiswaswadu changu, huenda yule binti angekuja na Uzi hapa kusema ameniona Babu yake laivu laivu πMzee mjanja π π
D hizi mbili πKumbe una ID mbili, moja ya kutangazia ajira Kwa jobless na ya pili ni hii eeh
Tumeshakujua boss π
Siyo Kila mtu new memberNew member...
Acha mambo yako.. unajua kuna ishu za BAN humu
Kwa hyo umeshamrudishia simu yake au? Kuna kitu nataka nimuambieWasalam wakuu.
Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..
I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.
Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....
Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee
Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...
Wakuu mjiheshimu kuna watu mna assume ni mtu flani.. nimesema sijajua kama kajiunga au laa
Bora ukaushe tu,usije kuta ndiyo mwenye ile ID ya kula tunda kimasiara au Zero IQππππMkuu hapa nataka niongee na mdogo angu nijue je ni yeye kaweka au ni nani..
Alafu nifatilie je huwa ana log in au anaangalia habari mbali mbali
Hahaha............halafu mnatusema Babu zenu kwanini tumeoa wake wawiliD hizi mbili π
ID chachu na yahovyo ni hii
ID mbili muhimu mkuu kuna muda inabidi tu iwe hivyo sio kwa nia mbaya.Hahaha............halafu mnatusema Babu zenu kwanini tumeoa wake wawili
Wakati huo huo ninyi mnamiliki ID mbili
A=B
B=C
Then A=C π