Illuminata Rodgers
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,845
- 2,030
Usidharau kazi ya mtu nae ndo inamuweka mjini.
basi tafuta waliokalia vyeti homuHapa mtaani kwetu kuna mabinti wengi wanajiusisha na shughuli za kujitafutia kipato wengi wanauza mihogo, kuna mdada mmoja anauza mihogo tumetokea kuzoeana ni mteja wake mahiri sana mimi,
Uwa naenda kumnunua mihogo kwake kila asububi kabla ya kwenda job.
Sasa huyo dada katika kuzoeana akaniombaga hadi nambaangu tukawa tunachati sasa jana kaniambia kuwa ananipenda nilishtuka sana nikamuuliza why?
Anasema mimi ni mwanaume ninaejipenda msafi sana na nina moyo wa kipekee hivyo ametokea kunielewa sana, daah wakuu huyu mwanamke ni mrembo haswa mweupe ana tako halafu mrefu kidogo, ikabidi nimwambie nipe siku 3 nikufikirie then nitakupa jibu.
Wakuu mimi naona kama siwezi kumkubalia huyu mwanamke maana nitamuumiza sana nitaishia kumla na kumuacha tu japo sababu nyingine sipendezwi na kazi yake ya kuuza mihogo bora kidogo angekuwa na kazi ya kueleweka hapo ningemkubalia
Hau wakuu nakosea??
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Daaaaahhh mwanaume unamwambia demu nipe siku 3 nikufikirie ntakupa jibu????😂😂😂aiseee haya mambo hata wanawake wa sikuiz hawafanyi tenaHapa mtaani kwetu kuna mabinti wengi wanajiusisha na shughuli za kujitafutia kipato wengi wanauza mihogo, kuna mdada mmoja anauza mihogo tumetokea kuzoeana ni mteja wake mahiri sana mimi,
Uwa naenda kumnunua mihogo kwake kila asububi kabla ya kwenda job.
Sasa huyo dada katika kuzoeana akaniombaga hadi nambaangu tukawa tunachati sasa jana kaniambia kuwa ananipenda nilishtuka sana nikamuuliza why?
Anasema mimi ni mwanaume ninaejipenda msafi sana na nina moyo wa kipekee hivyo ametokea kunielewa sana, daah wakuu huyu mwanamke ni mrembo haswa mweupe ana tako halafu mrefu kidogo, ikabidi nimwambie nipe siku 3 nikufikirie then nitakupa jibu.
Wakuu mimi naona kama siwezi kumkubalia huyu mwanamke maana nitamuumiza sana nitaishia kumla na kumuacha tu japo sababu nyingine sipendezwi na kazi yake ya kuuza mihogo bora kidogo angekuwa na kazi ya kueleweka hapo ningemkubalia
Hau wakuu nakosea??
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Mimi na wanangu wa Manzese tumekupigia salute ya kijemedariTafuna yeye na mihogo yake
Duhnimwambie nipe siku 3 nikufikirie then nitakupa jibu.
Daaaaahhh mwanaume unamwambia demu nipe siku 3 nikufikirie ntakupa jibu????[emoji23][emoji23][emoji23]aiseee haya mambo hata wanawake wa sikuiz hawafanyi tena
Kufeli kwako ndio panaanzia hapoMkuu sijamaanisha kama namnyayapaa na kazi yake ila daah kidogo niwe mkweli napenda mwanamke awe na ka kazi kakueleweka hata ukimtambulisha kwa washua kidogo fact
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Tafuna yeye na mihogo yake
Kuna kimoja kitazidi utamu lakini
Nakazia hapa.Anaonekana amekuzidi akili. Kama huna mke, muoe mfungulie mgahawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuna yeye na mihogo yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi ya kuuza mihogo ni kazi nzuri Sana tena ni Mwanamke anayejitegemea. Unapenda awe na kazi za kuajiriwa. My friend your lost hata hawa matajiri wakubwa wengi walianza na kazi za kazi ndogo ndogo ambazo wewe unazizadharau. Kwa maelezo yako haya wewe mwenyewe inaonekana hauna Kazi ya kueleweka kabisa
MarioooooKwaiyo ata huyo mpenz wako uliye nae ume mpendea kaz yake wala huja mpenda yeye, ina onekana Una penda wanawake wenye kaz nzur nzur ili wawe Wana kugaiya pesa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unafanya kazi gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi kupaliwa lolUlitaka awe na kazi ya kueleweka ili akuhonge, akuweke mjini, au?
Yale yale ya akina dada kupenda magari yetu utadhani ya kwao. [emoji1787][emoji1787] Eti mimi siwezi date mwanaume asiye na gari, kwani akiwa na gari litakuwa lako!!!
Mkuu kama vipi kaupgrade ukape mtaji kafanye biashara nyingine utakayopenda halafu kaweke ndani maana huyo ni mtafutaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheeeeeeeeh makubwa haya tena lol.Na kuna uzi unasema NIMEPENDWA NA KAVULANA KAUZA BUCHA LA NYAMA[emoji2960][emoji23][emoji28] mwenye huo uzi aupandishe hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti kasema kanipenda halafu nikamuuliza Why? [emoji23]
Eti nimemwambia anipe siku tatu nimfikirie.
Daah! braza mwanamke akikutongoza unamsikiliza afu unamtongoza wewe, if you are real kwenye hilo la kuogopa kumuumiza mwambie tuu ukweli kuwa hata wewe ulikuwa unampenda ila ukaogopa kumwambia kwa kuwa unamthamini sana kwani hauna long term plan nae. Hapo kama kakuelewa kweli basi utakula mbususu kwa raha sana unakuwa ushaji defend that anytime unakiamsha.