Nimependwa na dada muuza mihogo, nifanyaje?

Nimependwa na dada muuza mihogo, nifanyaje?

Huna aibu
Eti hupendezwi na kazi yake
Wewe una ipi ya maana?
Ungekua unakula sausages asubuh mihogo usingekua unahangaika nayo
Pathetic!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani opinion ya washua wako ina faida gani kwenye maisha yako ya mapenzi? Mapenzi ya wawili mnataka kuyafanya ya kikundi? Hao washua wana yao na wewe una yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo unayebishana nae ni mtoto, achana nae.
 
First year wa udsm katika ubora wako ngoja u graduate kitaa kina kusubiri....yaani unadharau mihogo wakati ndio unayo shindia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] unajua wangapi wanashindia mihogo Kama wewe na huyo Dada anafunga na hesabu ya ngapi kwa siku.....?

Kifupi huyo mwanamke kutokana na unavyo muuigizia maisha kaona wewe ni bonge la kichwa lkn kiuhalisia wewe ni boya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu hizi mbususu zinazokuja kama zali chapa faster angalia ustaarabu wako kikubwa hao wauza busta usipige kavu tena tafuta roughrider kabisa maana kuna njemba huwa zinajumua dishi lote pamoja na mama mihogo mwenyewe[emoji1][emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daaaaahhh mwanaume unamwambia demu nipe siku 3 nikufikirie ntakupa jibu????[emoji23][emoji23][emoji23]aiseee haya mambo hata wanawake wa sikuiz hawafanyi tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanaume wa dar. Ungeomba wiki nzima kabla ya kumpa jibu ili umuulize na mama yako, na baba labda na mwalimu mkuu wa shule uliyosoma praimare.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol.
 
We jamaa huna akili kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom