Unyama Sana.Tafuna yeye na mihogo yake
"........sababu nyingine sipendezwi na kazi yake ya kuuza mihogo bora kidogo angekuwa na kazi ya kueleweka hapo ningemkubaliaHapa mtaani kwetu kuna mabinti wengi wanajiusisha na shughuli za kujitafutia kipato wengi wanauza mihogo, kuna mdada mmoja anauza mihogo tumetokea kuzoeana ni mteja wake mahiri sana mimi,
Uwa naenda kumnunua mihogo kwake kila asububi kabla ya kwenda job,
Sasa huyo dada katika kuzoeana akaniombaga hadi nambaangu tukawa tunachati sasa jana kaniambia kuwa ananipenda nilishtuka sana nikamuuliza why? Anasema mimi ni mwanaume ninaejipenda msafi sana na nina moyo wa kipekee hivyo ametokea kunielewa sana, daah wakuu huyu mwanamke ni mrembo haswa mweupe ana tako halafu mrefu kidogo, ikabidi nimwambie nipe siku 3 nikufikirie then nitakupa jibu,
Wakuu mimi naona kama siwezi kumkubalia huyu mwanamke maana nitamuumiza sana nitaishia kumla na kumuacha tu japo sababu nyingine sipendezwi na kazi yake ya kuuza mihogo bora kidogo angekuwa na kazi ya kueleweka hapo ningemkubalia
Hau wakuu nakosea??
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Ha ha haaaUnyama Sana.
Hiyoo mama mtafuteni atupe mrejeshoooUzi wa yule mdada anaitwa NAKWEDE
![]()
Nimetongozwa na kavulana kauza bucha la nyama
Enyi watoto wadogo, wakiume, wavulana nani amewaloga? Mmekuwaje mbona hamna hofu ya kuogopa wakinamama wakubwa waliowazidi umri mara 20000? Mnapata wapi ujasiri huo? story iko vile: Jana nilipita kwenye bucha la nyama ambako huwa ninapenda kununulia hapo kwa kuwa wana nyama ya kutoka wilaya...www.jamiiforums.com
Maxence Melo
Fact kabisaaaaHuna aibu
Eti hupendezwi na kazi yake
Wewe una ipi ya maana?
Ungekua unakula sausages asubuh mihogo usingekua unahangaika nayo
Pathetic!
Kazi yangu kwa mwezi nalipwa millioni na kuendelea halafu ishu ya kula mihogo ni maamuzi tu uwa napenda mihogo toka nipo mtoto mkuu
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Inabidi siku zote uheshimu kile mtu kinachomwingizoa kipatoo kabisa maisha hata sikia tyu unaweza na baadaye ukawa muuza mihogoooKulipwa milioni ndo umuone mkaanga mihogo wa ajabu au?
Embu kua mtu mzima kidogo mkuu
Inabidi siku zote uheshimu kile mtu kinachomwingizoa kipatoo kabisa maisha hata sikia tyu unaweza na baadaye ukawa muuza mihogooo
Halafu anamwita kadada duuh kisa analipwa million[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]muache mkuu
Atalipwa milioni mpaka mwisho wa maisha
Ana mkataba na Mungu naona
Halafu anamwita kadada duuh kisa analipwa million[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Ili akuache mtafutie shamba na mtaji alime mihogo, akivuna atengeneze unga wa mihogo auze atakua na kipato kikubwa kuliko wewe, naamini akifikia hapo na yeye atatafuta wanaume wanaomfaa yeye.Hapa mtaani kwetu kuna mabinti wengi wanajiusisha na shughuli za kujitafutia kipato wengi wanauza mihogo, kuna mdada mmoja anauza mihogo tumetokea kuzoeana ni mteja wake mahiri sana mimi,
Uwa naenda kumnunua mihogo kwake kila asububi kabla ya kwenda job,
Sasa huyo dada katika kuzoeana akaniombaga hadi nambaangu tukawa tunachati sasa jana kaniambia kuwa ananipenda nilishtuka sana nikamuuliza why? Anasema mimi ni mwanaume ninaejipenda msafi sana na nina moyo wa kipekee hivyo ametokea kunielewa sana, daah wakuu huyu mwanamke ni mrembo haswa mweupe ana tako halafu mrefu kidogo, ikabidi nimwambie nipe siku 3 nikufikirie then nitakupa jibu,
Wakuu mimi naona kama siwezi kumkubalia huyu mwanamke maana nitamuumiza sana nitaishia kumla na kumuacha tu japo sababu nyingine sipendezwi na kazi yake ya kuuza mihogo bora kidogo angekuwa na kazi ya kueleweka hapo ningemkubalia
Hau wakuu nakosea??
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Akija gheto mwambie aje na mihogo na chachandu utafaidi sanaHapa mtaani kwetu kuna mabinti wengi wanajiusisha na shughuli za kujitafutia kipato wengi wanauza mihogo, kuna mdada mmoja anauza mihogo tumetokea kuzoeana ni mteja wake mahiri sana mimi,
Uwa naenda kumnunua mihogo kwake kila asububi kabla ya kwenda job,
Sasa huyo dada katika kuzoeana akaniombaga hadi nambaangu tukawa tunachati sasa jana kaniambia kuwa ananipenda nilishtuka sana nikamuuliza why? Anasema mimi ni mwanaume ninaejipenda msafi sana na nina moyo wa kipekee hivyo ametokea kunielewa sana, daah wakuu huyu mwanamke ni mrembo haswa mweupe ana tako halafu mrefu kidogo, ikabidi nimwambie nipe siku 3 nikufikirie then nitakupa jibu,
Wakuu mimi naona kama siwezi kumkubalia huyu mwanamke maana nitamuumiza sana nitaishia kumla na kumuacha tu japo sababu nyingine sipendezwi na kazi yake ya kuuza mihogo bora kidogo angekuwa na kazi ya kueleweka hapo ningemkubalia
Hau wakuu nakosea??
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Kwani opinion ya washua wako ina faida gani kwenye maisha yako ya mapenzi? Mapenzi ya wawili mnataka kuyafanya ya kikundi? Hao washua wana yao na wewe una yako.Mkuu sijamaanisha kama namnyayapaa na kazi yake ila daah kidogo niwe mkweli napenda mwanamke awe na ka kazi kakueleweka hata ukimtambulisha kwa washua kidogo fact
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app