Nimependa changudoa

Nimependa changudoa

ingekuwa mimi, ushauri ni huu tu! umesema vizuri sana mkuu, HONGERA SANA KWA KUWA NA HEKIMA NA BUSARA!!!
Kaka pole. Kwa namna unavyomsifia huyu binti, anaonekana ni mrembo sana halafu changudoa. Sasaaa, alivyo mrembo hivyoo ni wanaume wangapi wamewahi kulala nae kabla ya kuanza hio biashara? na baada ya kuanza hio biashara ni wangapi? wangapi wazima na wangapi wamegonjeka? we ni wa ngapi? je bado anaendelea na biashara yake?

Je ukiitafakari kesho, unaiona future yako ambayo umekua ukiiota? unaona umri uliotamani kuuishi mbele yako kwa hali hiyo, Mkuu mimi naona kiza kinene mbeleni, tafadhali tumia ubongo wako vizuri kuushinda huo mwili usiokubaligi kushindwa kirahisi rahisi, hadi utie juhudi sana ndio utaushinda.

Mungu akutie nguvu unapofanya maamuzi, you have a great future ahead of you brother, think clearly. ''Mtu hujaribiwa kwa tamaa zake mwenyewe, nayo tamaa ikikomaa huzaa dhambi, nayo dhambi ikikomaa huzaa mauti''
 
Mimi ni kijana mwenye miaka 26 nina shahada ya chuo kikuu na ninafanya kazi ktk shirika moja la kimataifa. Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yaani warembo.
Nilipimaliza chuo nilifanya kazi ktk bank moja dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi ktk shirika hili nilipo sasa huku kanda ya ziwa kwakuwa huku nilikuwa ugenn siku moja nilienda club hapa mwanza ktk cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lkn ni changudoa.
Nikachukua namba kwa usiku huo mm utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.
Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo ikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka bataja kumuoa sasa sijui napotea naomba ushauri mwenzenu!


Mkaka hupotei wala nn ndugu yangu kama mmekubaliana na unajua nae anakupenda weka ndani ndugu ,yani sio machangudoa wote wanapenda kazi yao ila nikwakuwa wamekosa nafasi zingine tu,embuu kaaa nae na umjue vzuri na misimamo yake then tupia ndani yani utafuraia mwenyewe.
 
Its true kuna machangu wazuri ile mbaya hadi nashangaa kwanini ni machangu,
lakini mwanamke aolewi kwa uzuri bali kwa tabia.
Hivi ukimfumania baada ya kuoa? Hutamfanya nini?

My advice to all my brothers out there, don't go out and try them "hookers" they are very very addictive.
 
Mimi ni kijana mwenye miaka 26 nina shahada ya chuo kikuu na ninafanya kazi ktk shirika moja la kimataifa. Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yaani warembo.
Nilipimaliza chuo nilifanya kazi ktk bank moja dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi ktk shirika hili nilipo sasa huku kanda ya ziwa kwakuwa huku nilikuwa ugenn siku moja nilienda club hapa mwanza ktk cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lkn ni changudoa.
Nikachukua namba kwa usiku huo mm utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.
Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo ikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka bataja kumuoa sasa sijui napotea naomba ushauri mwenzenu!

weka ndani, siyo wote wanapenda kuwa hivyo, wengine ni tamaa na maisha yamewatenda, mwambie ukweli akikubali mfungulie biashara maisha yaende
 
Kwani ili uwe mzoefu inatakiwa uweje. Maana kama ni wanawake nishakuwa nao mara nyingi na wengi sana
Kwa kauli yako hii na wewe si malaya tu. haupaswi kushangaa biashara aifanyayo huyo uliyempenda maana mpo kwenye boti moja. Na kwa umri wako wa miaka 26!!! unahitaji kubadili tabia yako ili uuone ujana wako wa kati.
 
Kichwa kinauma halafu anadai mm namtomba vizuri

Wewe mwenyewe umeshapima UKIMWI, kama jibu ni ndio na hauna, basi kapime tena kwingine, wataalaamu wanatwambia kuna mashine feki. Nakusikitikia sana kwa uasharati.
 
Mkaka hupotei wala nn ndugu yangu kama mmekubaliana na unajua nae anakupenda weka ndani ndugu ,yani sio machangudoa wote wanapenda kazi yao ila nikwakuwa wamekosa nafasi zingine tu,embuu kaaa nae na umjue vzuri na misimamo yake then tupia ndani yani utafuraia mwenyewe.
Amesema haipendi hyo kazi. Anasubili nitoe tamko
 
Wewe mwenyewe umeshapima UKIMWI, kama jibu ni ndio na hauna, basi kapime tena kwingine, wataalaamu wanatwambia kuna mashine feki. Nakusikitikia sana kwa uasharati.
Kwani uasherati ni kuchukua cd tu mbona ww una mpenzi ambaye hakuna ndoa
 
Kwa kauli yako hii na wewe si malaya tu. haupaswi kushangaa biashara aifanyayo huyo uliyempenda maana mpo kwenye boti moja. Na kwa umri wako wa miaka 26!!! unahitaji kubadili tabia yako ili uuone ujana wako wa kati.
Mwanaume hawi malaya i.e hakuna malaya mwanaume
 
weka ndani, siyo wote wanapenda kuwa hivyo, wengine ni tamaa na maisha yamewatenda, mwambie ukweli akikubali mfungulie biashara maisha yaende
Ndo niko ktk mchakato
 
Its true kuna machangu wazuri ile mbaya hadi nashangaa kwanini ni machangu,
lakini mwanamke aolewi kwa uzuri bali kwa tabia.
Hivi ukimfumania baada ya kuoa? Hutamfanya nini?
Duh kazi kweli kweli mweee

My advice to all my brothers out there, don't go out and try them "hookers" they are very very addictive.
Nikimfuma hapatatosha
 
Mimi ni kijana mwenye miaka 26 nina shahada ya chuo kikuu na ninafanya kazi ktk shirika moja la kimataifa. Kiukweli napenda sana wanawake hasa wazuri yaani warembo.
Nilipimaliza chuo nilifanya kazi ktk bank moja dar baada ya kuchoshwa na kazi za bank nilipata kazi ktk shirika hili nilipo sasa huku kanda ya ziwa kwakuwa huku nilikuwa ugenn siku moja nilienda club hapa mwanza ktk cheza cheza nikamuona dada mmoja kwakweli ukimuona alivyopendeza utatamani umuweke ndani lkn ni changudoa.
Nikachukua namba kwa usiku huo mm utaratibu wangu silalagi na mwanamke wa kuokota nikiwa nimelewa.
Kesho yake nilimtafuta nikiwa sijanywa ndo nikalala nae baada ya hapo ikawa kila nikipata chance namuita taratibu ninempenda mpaka bataja kumuoa sasa sijui napotea naomba ushauri mwenzenu!

Oa mdogo wangu hata wengine walioa baazi yao wameoa machangudoa ila hawajionyeshi wakajulikana wazi wazi . Suala la msingi ni yeye kutulia
 
Bhana, sikiliza moyo na hisia zako!
Jiulize wewe umesha du mara ngapi na wanawake wangapi? Je unadhani ni sahihi uhukumiwe kwa your past experience?
Umeshajaribu kumdodosa nini kilichomfanya awe changudoa? Umejua msimamo wake juu ya uwezekano wa kuacha hiyo biashara ya kujiuza?
Ushauri
usifanye haraka, endelea kumchunguza, mwende kupima VVU, Tumieni kifudusi(Condom) kila mnapongonoka,

Mhhhhhhhhhh, akili inazunguka, halafu shule humalizi tu?, bado miaka mingapi?
 
Hongera kaka kwani ata hao machangudoa hawakupenda kufanya iyo kazi kama kweli umempenda na umekaa nae mkaongea na anmekubali kubadilika na kuacha iyo tabia basi sioni ubaya wa we kumkwamua kwenye ilo janga na mwenyezimungu awabariki kwani ni wengi wanaofanya iyo biashara kwa shida na so kwa kupenda .

Mimi nishaona kaka mmoja pia alipenda mwanamke alikuwa changudoa na akambadilisha they have a very happy marrige now wit three kids.

Cha muhimu ni kwenda kupima mujue afya zenu na pia umchunguze na upande wa familia yake pia ili upate full picture otherwise its not a bad idea.
 
Hongera kaka kwani ata hao machangudoa hawakupenda kufanya iyo kazi kama kweli umempenda na umekaa nae mkaongea na anmekubali kubadilika na kuacha iyo tabia basi sioni ubaya wa we kumkwamua kwenye ilo janga na mwenyezimungu awabariki kwani ni wengi wanaofanya iyo biashara kwa shida na so kwa kupenda .

Mimi nishaona kaka mmoja pia alipenda mwanamke alikuwa changudoa na akambadilisha they have a very happy marrige now wit three kids.

Cha muhimu ni kwenda kupima mujue afya zenu na pia umchunguze na upande wa familia yake pia ili upate full picture otherwise its not a bad idea.
Nimelichukua mkuu
 
Lkn watu wakijua alikuwa changu c watambeza?

Changudoa wewe unamwita, huyo ni binadamu kama mwingine, kuna watu wanafanya ufusika zaidi ya huyo,
ninachojua ukimpenda mtu hutaona mapungufu yake hata siku moja.
onyesha unampenda na kumjali na kumthamini, mweke bize ktk shughuli za kiuchumi, then utaenjoy maisha.
mbona me namfahamu demu moja tulikuwa class moja ni wa ukweli, kwanza ni kichwa aliwahi kimbiza darasa zima semister moja lakini amekwenda club akiwa field akakutana na mshikaji mpaka leo wapo pamoja.
 
Huyu ni mrembo coz alishiriki mashindano ya umiss akashika namba za juu

kijana many a man inlove with the dimple have made the mistake of marrying the whole girl. dnt make that mistake. kama wapenda uzuri wake wee kuwa nae kimapenzi kwa hilo tuu na sio ndio umuoe.
 
Back
Top Bottom