Nimepata msiba.

Nimepata msiba.

Habari zenu wapendwa, nasikitika kuwataarifu kuwa nimepata msiba wa mama yangu mkubwa. Amefariki jana jioni na tunatarajia kuzika leo saa kumi Muheza Tanga. Innalillah wainna illaih rajiuun

Pole YNNAH Poleni wafiwa! Allah awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu, Innalillah wainna illaih rajiun!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana rafiki kipenzi mungu awatie nguvu!!
 
He he he, remani imepata msomaji
Kwanza mshale wa N-S umaugeuzia chini, hata New York hutapaona


On serious Note: Ndege yangu imekatika stering power, unaweza kuwa nayo ya ziada?

Hizo ulizotaja ni central london ama new york? Mie mara nyingi natembea na private jet, kama havipo kwenye ramani muhimu sizijui lol
cc snowhite, Kongosho
 
Poleni sana! YNNAH namuomba MUNGU akupeni subira kwenye wakati huu mgumu wa kuondokewa na mpendwa. Apumzike kwa amani mama mkubwa. AMINA.
 
Last edited by a moderator:
Pole mpendwa mungu awe faraja yenu na familia kwa ujumla awatie nguvu poleni sana
habari zenu wapendwa, nasikitika kuwataarifu kuwa nimepata msiba wa mama yangu mkubwa. Amefariki jana jioni na tunatarajia kuzika leo saa kumi muheza tanga. Innalillah wainna illaih rajiuun
 
Mnazungumzia ramani hii alipolazwa mwenzetu mangwair au ni ramani ipi hiyo au ni hii
he he he, remani imepata msomaji
kwanza mshale wa n-s umaugeuzia chini, hata new york hutapaona


on serious note: Ndege yangu imekatika stering power, unaweza kuwa nayo ya ziada?
 

Attachments

  • SAFRICA.jpg
    SAFRICA.jpg
    11.1 KB · Views: 36
Pole sana YNNAH..... Kazi ya Mungu haina makosa

RIP mama mkubwa!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana my dia.Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu.Mungu awatunze

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Oops pole best. Si utupe huko ununue jet mpya? Unajua ukirepair unacompromise usalama? We can borrow you ile air force one duplicate ya the beast manake hatuitumii sana, paw haipendi.

Majangaaaa, majangaaaa
He he he, remani imepata msomaji
Kwanza mshale wa N-S umaugeuzia chini, hata New York hutapaona


On serious Note: Ndege yangu imekatika stering power, unaweza kuwa nayo ya ziada?
 
Back
Top Bottom