Nimepata msiba.

Nimepata msiba.

Habari zenu wapendwa, nasikitika kuwataarifu kuwa nimepata msiba wa mama yangu mkubwa. Amefariki jana jioni na tunatarajia kuzika leo saa kumi Muheza Tanga. Innalillah wainna illaih rajiuun
Pole, alazwe pema peponi mama.
 
YNNAH Mungu akusimamie wakati huu mgumu wa msiba, R.I.P Mama mkubwa
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wapendwa, nasikitika kuwataarifu kuwa nimepata msiba wa mama yangu mkubwa. Amefariki jana jioni na tunatarajia kuzika leo saa kumi Muheza Tanga. Innalillah wainna illaih rajiuun

Pole sana...
 
Back
Top Bottom