Nimepata msiba.

Nimepata msiba.

Yaani watu mnapenda tuweke picha za warembo warembo tu hata kama hatufanani nazo . . right???
heheh hii hii ndio nzuri!

Yep niafadhali ukaweka picha yenye mfano wako hata kwa mbali...mfn..ww ni tinginya then unaweka picha ya kimodo wapi na wapi??
 
Yaani watu mnapenda tuweke picha za warembo warembo tu hata kama hatufanani nazo . . right???
heheh hii hii ndio nzuri!

Hata km bhana lol yako ya zamani ndio bomba tena ileee ya enzi za Amyner
 
Last edited by a moderator:
Pole sana @YHNNA. Roho ya marehemu ipate rehema kwa Mungu, apumzike kwa amani, Amina!
 
Inna lillahi wa inna illahi rajjun!
jamani @yhnna pole sana, sikuona hii thread.
Mamkubwa apumzike mahala pema peponi.
 
RIP AUNT...Innalillah wainna
illaih rajiuun
 
Pole YNNAH mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
 
Yep niafadhali ukaweka picha yenye mfano wako hata kwa mbali...mfn..ww ni tinginya then unaweka picha ya kimodo wapi na wapi??

hahahaaaaa . . . inategemea lakini, huwezi jua mtu kaipendea nini!
 
Pole sn. In sha Allah Mungu atawapa subra wafiwa.
Inna lilah wainna ilayh rajiuun
 
Back
Top Bottom