Nimepata mchumba au kombora?

Nimepata mchumba au kombora?

Kimbia fasta toka nduki we kimbia ukituma umeumia
1474813447220.jpg
 
mungu Mkubwa mm sijawahi kukutana na machola hadi kuona elfu 50 ni pesa nyingi, tho siwezi kukosa nauri. ila wewe kaka bahili unashindwa kutuma 50? dah what kind of a man? aibu
Tatizo sio kutuma hiyo 50 bana

Dada kachemka
 
Miezi kadhaa nilipost hapa nikitafuta mchumba wa kuoa

Nikapata kama wadada wawili,ktk kuchuja kwangu nikampenda mwenye rangi nyeupe maana mwingine ni black,

Tumechat whatsapp kwa miez sasa bila kuonana lkn tunatumiana picha mbalimbali aidha tupo kazini au nyumbani,

Jana tulipanga appointment ya kuonana na mimi nisingeweza kumfata aliko ila akaomba nimtumie elfu 50 achukue taxi mpaka nilipo,

Sasa nipo dilema najiuliza hivi nitume kweli 50 au niache maana moyo una 6 au ni mhuni maana?

Hapa mjini!
"....maana mwingine ni black"
Hivi unajiskiaje kuandika maneno kama hayo humu?
 
Huo ulokole wake umeuthbitsha Vp jombaaa????
Mara kwa mara anasema yupo kwenye maombi hasa jumamos na juma5 jion na alisema kbs ameokoka na alianza taratibu kunishawishi niokoke ili nimwoe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom