Nimepata mchumba au kombora?

Nimepata mchumba au kombora?

Demu wa online ukiona anakwambia umtumie sh kadhaa,ujue hapo Hamna kitu.
 
Nakumbuka kuna boya moja lilinitapeli buku tano ya nauli nilipotuma simu haikupokelewa mwisho ikazimwa hadi Leo nikikumbuka nacheka tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom