Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,990
Ha ha ha pole mamaroho mbaya
Ha ha ha pole mamaroho mbaya
Kwel kabisa mkuu akil kumkichwaImebumaaaaa![]()
HahahahhhahaNilishaomba sana niende hata karibu na geti lao nimwone akasema baba yake ana supermarket nje ya geti anauza humo ni ngumu kumwona



angekuwa anatoka mkoani sawa lakini kwa dar es salaam hii hakuna usafiri wa elfu 50Eddy umewaza vizur san
Hili nalo neno teena kuntu
hapa dar es salaam kuna usafiri wa 50000? huyo atakuwa dume mwenzie anataka kumuingiza choo cha kikeIli umfate Pm![]()
Inawezekana ndo mana anamkwepa kuonanahapa dar es salaam kuna usafiri wa 50000? huyo atakuwa dume mwenzie anataka kumuingiza choo cha kike
Huyo tapeli achana naeAnasema ana namba ya dreva wa taxi tu bodaboda hazipo karibu na kwao na anataka nitume tu pesa hakuna option nyingine