Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Kwani wewe unamjua Evelyn Salt na I'd zake zingine kama anazo?Hapana
Kwani wewe unamjua Evelyn Salt na I'd zake zingine kama anazo?Hapana
Mi nimetuma picha za kawaida mno lkn ndo ivo tena nyingi nipo kanisaniHakuna utata hapo mkuu...
Unaweza kuta kajamaa kalikua kakimtumia babe ake mapicha ya viwanja vikali, huku akitupia Pizza, bagga nk.
Waweza kuta jamaa alipiga picha kwenye maegesho ya magari, kisha akamtumia babe picha akiwa pembeni ya Ferrari.
Napata wasiwasi sana kwamba jamaa alijipaisha sana kwa babe kipindi cha kutumiana mipicha
Huyo simjui kbs hata kdg wala id yake siijuiKwani wewe unamjua Evelyn Salt na I'd zake zingine kama anazo?
ulimpata jf? amini nakwambia akiiona hii post...itakuwa hatari kwa afya yako


Hapa sio swala la ubahili mkuu...mungu Mkubwa mm sijawahi kukutana na machola hadi kuona elfu 50 ni pesa nyingi, tho siwezi kukosa nauri. ila wewe kaka bahili unashindwa kutuma 50? dah what kind of a man? aibu
na tunakutana na makubwa kuliko hili, hapo sindio angekua analeta threads za kipuuzi humu kila siku...

Yupo umuBas tena nisha block namba yake ila unisamehe tu we dada kwakweli maana najua umeona hii post am sorry n byebye

Bila shaka ni Evelyn Salt huyo.
Hahahhh ulikua unalizwa vibaya usikute mwanaume mwenzioNilishaomba sana niende hata karibu na geti lao nimwone akasema baba yake ana supermarket nje ya geti anauza humo ni ngumu kumwona

HahahhhHawa ndio wanao tusababisha wengine tusijibiwe hata PM humu Jf aiseeee.....
kwanini usimfate? tuma hyo hela ujue ukweli wake kumjua mtu mkweli elf 50 sio kituNilimpata humuhumu,ila anisamehe tu amegusa parefu mno
Kweli kabisa alaf mambo ya kudhalilishana jf ndo yapo sanaNdoma mim mambo ya mitandao tuishiage tu kuchat,haya mambo ya kudharirishan humu hapan kwakweli,mimi nafikiri kulikuw hakun haja ya kuomb ushauri sbb ushaona ni kombora,na kingin usha mbrck sasa maamuz ushaya fanya mwenyew lbda uje na thread ya kutushaur kwa mambo uliyokuta nayo,ndoman huwa na kwepa san inbx,mpk nikupe namb yang ujue nimekuheshim sana
kwanini usimfate mbona wanaume mnapenda mambo rahisi sana,kuna mmoja aliniambia eti atachukua chumba hotelini tukaongee humo .kuna watu wanautani sijui roho mbaya? tena yupo humu akinisoma ataelewa
Mkuu huyo kama ndio unataka awe mke itakula Kwako. Moja ya test muhimu ni kama hiyo, haiwezekani mwanamke mwenye busara na kujua maisha atake 50000 just kwa ajili ya Tax. Huyu hata kama ndani Kuna chakula atakwambia baby twende hotel tukale. Watch out
mbona sikuelewi ina maana mtu akikuita morogoro nje ya plan zako si lazima atoe nauli yeye kama vipi amfate.na kama mwanaume kweli unampenda mtu si umfate?NYIE AKINA NANI MPAKA MTUSABABISHIE HASARA
HALAFU WANAWAKE ALIE WAAMBIA WANAUME ( BOYFRIEND) wako SAWA NA BABA YAKO NANI? UMEPENDEA LEO UNATAKA KILA KITU ULICHOEAHI KUKISIKIA DUNIANI UWE NACHO HOW COMES??
Hahahaha...mwambie apande boda boda utalipia akifika
tax itakaa foleni asijione anajua sana hela kulijo benki