Ha ha ha ila me ningekuomba hela siku ya kwanzaZamaaani
Ha ha we mbahiliNingekublock mda huohuo tu wala nisingechelewa kbs
Wengine tumeji360 ukija kuona real mtu unarun awayMi si mbahili kiivo,angekubal kuja bila kuniomba hiyo 50 pengine angepata zaid ya hiyo maana ningempatia naul yake na ya kurud na zawad juu lkn kakurupuka mno
360 haina ttz yy angekuja tu tukaonana ingekua poa,mtu sijawah kumwona live nitawezaje kutuma tu pesa iviivi ni bora leo angenipa imani ili hata akiniomba hiyo 50 najua kwl natoa kwa mtu naemjua,je kama natuma kwa jamaa limenichezea karata tu ningemlaumu nan humuWengine tumeji360 ukija kuona real mtu unarudi away
Ha ha unatuma kwa dume mwenzio360 haina ttz yy angekuja tu tukaonana ingekua poa,mtu sijawah kumwona live nitawezaje kutuma tu pesa iviivi ni bora leo angenipa imani ili hata akiniomba hiyo 50 najua kwl natoa kwa mtu naemjua,je kama natuma kwa jamaa limenichezea karata tu ningemlaumu nan humu
Dar ishakua ya wahuni
Aha, bhasi saawa mkuu mchinjilie baharini asikusumbueUhusiano huanza taratibu ndugu yangu sio kwa speed ya kuangaliana wallet imetuna vp hiyo mimi imegonga mwamba
Pole aiseeHilo nimekuja kulijua badae ndo nikashtuka