Nimepata mchumba au kombora?

Nimepata mchumba au kombora?

Wanawake ni mapambo ya dunia.
Msituache tunyaukiane
Kwa style hiyo mtanyauka mpaka mkauke maana hata kama ni mizinga hua wanaanzaga kwa pesa kdg lkn hiyo mwanzo tu 50 ya taxi ni htr kwa ulimwengu wa leo
 
Kwa style hiyo mtanyauka mpaka mkauke maana hata kama ni mizinga hua wanaanzaga kwa pesa kdg lkn hiyo mwanzo tu 50 ya taxi ni htr kwa ulimwengu wa leo
Lakini mie naona alichofanya huyo mwabamke ni sawa tu.
Kama ulizoea kujisifu mbele yake...utegemee vizinga.
Ila mbona mie huwa nachukua tax mpaka Kibaha na wala mtu wangu halalamiki?
Ni huu usawa au?
 
Lakini mie naona alichofanya huyo mwabamke ni sawa tu.
Kama ulizoea kujisifu mbele yake...utegemee vizinga.
Ila mbona mie huwa nachukua tax mpaka Kibaha na wala mtu wangu halalamiki?
Ni huu usawa au?
Tunatofautiana uchumi yeye kama anapanda taxi hadi chalinze au mpaka bagamoyo mi level zangu ni daladala ndo maana nimeshindwa atampata anaeweza kumpatia hiyo 50 ya taxi
 
Badala ya kumtumia hiyo 50,000 nadhani ni vema ukisogea jirani na mitaa ya kwao kisha umtumie hata 10,000 ya teksi.

Mfano, kama mngekuwa Arusha. Wewe unakaa Kisongo na yeye anaishi Usa, unasogea hadi Tengeru kisha unamtumia Tsh 10,000 za teksi.

Geuza mfano wangu wa Arusha kwa mazingira yenu ya Dar
 
Hizo picha alizokuwa anakutumia pengine siyo zake hapo anakutenge nezea picha la kihindi akupige za uso! huyo itakuwa umempata Badoo!
 
Badala ya kumtumia hiyo 50,000 nadhani ni vema ukisogea jirani na mitaa ya kwao kisha umtumie hata 10,000 ya teksi.

Mfano, kama mngekuwa Arusha. Wewe unakaa Kisongo na yeye anaishi Usa, unasogea hadi Tengeru kisha unamtumia Tsh 10,000 za teksi.

Geuza mfano wangu wa Arusha kwa mazingira yenu ya Dar
Ningefanya hivyo lkn tyr nimechelewa maana tumeshavurugana
 
Hizo picha alizokuwa anakutumia pengine siyo zake hapo anakutenge nezea picha la kihindi akupige za uso! huyo itakuwa umempata Badoo!
Ni zaid ya movie huko badoo wala sipo ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom