Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,394
- Thread starter
- #61
Angalia usije baki huko
Kwanin mfano?
Angalia usije baki huko
Wala usipoteze muda maana hawa Watu huwa hawakosekani, JF ni kama Mtaani, kuna Walevi, Wavuta bangi, Wahuni, Waliovurugwa tu na stress n.k.
Hivyo ni kama upo mtaa wa Congo, Mtu anakupiga kikumbo bila ya sababu na ukitaka kumuuliza ndio unatafuta balaa, ni bora kumuacha aende zake.
Pole kwa Mleta uzi ingawa naona unapunja taarifa mpaka Mdau wa kwanza kuchangia akalazimika kuuliza maswali muhimu....na hapo alipotoroshwa Dereva na huyo Bodaboda kwamba aliacha hilo Gari lake lilikugonga ama?.
Upande mwema upande mnafiki🤣Ni huyo bodaboda
Pole. Ila ushauri wangu kwako ni huu: Siku za sikukuu jaribu sana kusheherekea ukiwa nyumbani. Hii ni kwa sababu sikukuu ndiyo siku ya washamba wengi kutoka, kuzunguka hovyo na kulewa.Nimegongwa na gari chalii
Pole. Ila ushauri wangu kwako ni huu: Siku za sikukuu jaribu sana kusheherekea ukiwa nyumbani. Hii ni kwa sababu sikukuu ndiyo siku ya washamba wengi kutoka, kuzunguka hovyo na kulewa.
Amepata ajali ya kugongwa na gariUmepata ajali au umegongwa?
Huyo boda boda kanichekesha sana mkuu pole sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dereva alikuwa mlevi akawa amekimbia baada ya muda nilimuona boda boda ambaye alikuwa anamfukuza akanipeleka sehemu ambako gari lilonigonga limekwama mbele alipata ajali tena.
Kufika pale nikakutana na polisi wanapima nikatoa maelezo yangu ila cha ajabu yule dereva alitoroshwa pale na boda ambae amenionesha.
Futa hii chief umetukosea sanawalevi ni watu hatari Sana
Huyo boda boda kanichekesha sana mkuu pole sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini mkuu ? Maana wamengonga mtoa MadaFuta hii chief umetukosea sana
Sawa. Laikini siyo kila Jumapili ni sikukuu, hivyo jaribu kukaa nyumbani siku za sikukuu. Nasema hili kutokana na uzoefu. Ajali nyingi na maasi mengi hutokea wakati wa sikukuu. Mimi nilitapikiwa na mlevi mmoja siku ya sikukuu, basi tangu siku hiyo sitoki siku za sikukuu kubwa.Sawa mkuu hila ni kawaida yangu kutoka juma pili kama sio juma pili bas ijumaa
Ajali ni general termUmepata ajali au umegongwa?
Pole sana
Umejiona ulivyo MUONGO.Simu haikuwa na chaji nilikuwa natumia simu ndogo
Ulitumia nini kurequest?Nilikuwa nimerequest bolt kwaio ndio nilikuwa nalifwata gar nipande
Sawa. Laikini siyo kila Jumapili ni sikukuu, hivyo jaribu kukaa nyumbani siku za sikukuu. Nasema hili kutokana na uzoefu. Ajali nyingi na maasi mengi hutokea wakati wa sikukuu. Mimi nilitapikiwa na mlevi mmoja siku ya sikukuu, basi tangu siku hiyo sitoki siku za sikukuu kubwa.
Umejiona ulivyo MUONGO.
Ulitumia nini kurequest?