pole sana
Mungu amekutendea makuu. Mpango wa adui shetani ulikuwa ufe kabisa. Maana kazi kubwa ya shetani ni kuchinja, kuua na kuharibu.Ndugu za maamko
Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea kidimbwi wakati naludi home
Hilikuwa hivi nimetoka pale naelekea kwenye parking wakati natambea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi nikawa najaribu kuikwepa ndipo ilipo nizoa na kunilusha uko
Sijaumia sana hila naendelea vizuri kidogo
Pole sana kamanda. I wish u a speedy recoveryNdugu za maamko
Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea kidimbwi wakati naludi home
Hilikuwa hivi nimetoka pale naelekea kwenye parking wakati natambea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi nikawa najaribu kuikwepa ndipo ilipo nizoa na kunilusha uko
Sijaumia sana hila naendelea vizuri kidogo
Sema unamix L na R itakua madhara ya ajali.
Pole sana kamanda. I wish u a speedy recovery


Mungu amekutendea makuu. Mpango wa adui shetani ulikuwa ufe kabisa. Maana kazi kubwa ya shetani ni kuchinja, kuua na kuharibu.
Pole sana ndugu! Mungu akupe kupona kwa haraka.Ndugu za mwamko,
Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea kidimbwi wakati narudi home.
Ilikuwa hivi nimetoka pale naelekea kwenye parking wakati natembea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi nikawa najaribu kuikwepa ndipo iliponizoa na kunirusha huko.
Sijaumia sana lakini naendelea vizuri kidogo
huko paking nawewe ulikua umepaki gari au ulikua unajipitishatuu?
Pole sana, jambo la kumshukuru Mungu kuepusha na mabaya zaidi.Ndugu za mwamko,
Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea kidimbwi wakati narudi home.
Ilikuwa hivi nimetoka pale naelekea kwenye parking wakati natembea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi nikawa najaribu kuikwepa ndipo iliponizoa na kunirusha huko.
Sijaumia sana lakini naendelea vizuri kidogo
Pole Sana , Kuna Mtu alitoa tahadhari kuhusu unywaji wa pombe na kuwa makini barabarani sema Get well soon
Jamani tujifunze kuwafariji wenzetu wanapopatwa na shida. Hizi kejeli hazisaidii. Hiki unachokifanya unapanda mbegu, iko siku na wewe unapata matatizo watu eanakubeza pia.huko paking nawewe ulikua umepaki gari au ulikua unajipitishatuu?
Pole sana, nenda hospital kafanye check up kama una majeraha ya ndani
ahaaa polemkuuu.utapona nimekuombea...Nilikuwa nimerequest bolt kwaio ndio nilikuwa nalifwata gar nipande