ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,728
- 34,850
Haya maneno kuna jamaa mmoja anaitwa Kiranga hapendi kusikia. Kwamfano kama hapa atakwambia hv kama kweli Mungu amemtendea makuu na anampenda jamaa hata hiyo ajali ya kugongwa angeiepusha. Jamaa ana logic akichambua facts. But mimi humwambia naongozwa na imaniMungu amekutendea makuu. Mpango wa adui shetani ulikuwa ufe kabisa. Maana kazi kubwa ya shetani ni kuchinja, kuua na kuharibu.