Nimepata ajali jana maeneo ya Kawe

Nimepata ajali jana maeneo ya Kawe

Ndio nataka niende kwaza kituon hapa hili nijue muafaka kwasababu askar ni wazembe sana mtuhumiwa anawatoloka mikononi mwao
Wewe pambania afya yako, hao polisi wasipoeleweka achana nao maana watakupotezea muda na kukuingiza gharama zisizo za msingi.
 
Piga magoti shukuru Mungu kwa second chance...

La sivyo mida hii ungekuwa geti la mbinguni ukiomba wakupe hifadhi huko, lakini Bwana wa mabwana angesema, "kijana sisi hatupokei raia wanaotokea sodoma na gomora iitwayo Kidimbwi 🤣"
 
Dereva alikuwa mrevi akawa amekimbia baada ya muda nilimuona boda boda ambaye alikuwa anamfukuza akanipeleka sehemu ambako gar lilo nigonga limekwama mbele alipata ajali tena kufika pale nikakutan na polisi wanapima nikatoa maelezo yangu hila cha ajabu yule dereva alitoroshwa pale na boda ambae amenionesha
Ulinakili plate number za gari?

Umeenda hospital? Fungua kesi polisi, atapatikana tu
 
Ndugu za mwamko,

Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea kidimbwi wakati narudi home.

Ilikuwa hivi nimetoka pale naelekea kwenye parking wakati natembea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi nikawa najaribu kuikwepa ndipo iliponizoa na kunirusha huko.

Sijaumia sana lakini naendelea vizuri kidogo


Pole kwa yaliyotokea. Mshukuru Muumba kwa nafasi aliyekuwezesha kuendelea kuwa hai.

1: Toa taarifa polisi kwa yaliyotokea ili usajili tukio lako kama ilivyokuwa kwani kama ajali imepimwa taarifa zitakuwepo.

2: Nenda hospitali ili kupata huduma ya ukaguzi wa utimamu wa afya yako.

3: Endelea kuwa makini na mwenendo wa mwili wako na kufika kituo cha afya mara tu uonapo hsli isiyo ya kawaida.

4: Endelea na kufatilia suala la msababisha ajali hapo baadaye.
 
Dereva alikuwa mrevi akawa amekimbia baada ya muda nilimuona boda boda ambaye alikuwa anamfukuza akanipeleka sehemu ambako gar lilo nigonga limekwama mbele alipata ajali tena kufika pale nikakutan na polisi wanapima nikatoa maelezo yangu hila cha ajabu yule dereva alitoroshwa pale na boda ambae amenionesha
Daaaahhh, nguvu ya pesa hii.

Pole sana mkuu
 
Ndugu za mwamko,

Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea Kidimbwi wakati narudi home.

Ilikuwa hivi, nimetoka pale naelekea kwenye parking; wakati natembea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi, nikawa najaribu kuikwepa ndipo iliponizoa na kunirusha huko.

Sijaumia sana lakini, naendelea vizuri kidogo.
huo ni mpungaa mzeee mkazie akupe hata laki
 
Wewe pambania afya yako, hao polisi wasipoeleweka achana nao maana watakupotezea muda na kukuingiza gharama zisizo za msingi.

Nikiona hawaeleki itabidi nijitambulishe na uzembe wao watalipia
 
Ndugu za mwamko,

Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea Kidimbwi wakati narudi home.

Ilikuwa hivi, nimetoka pale naelekea kwenye parking; wakati natembea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi, nikawa najaribu kuikwepa ndipo iliponizoa na kunirusha huko.

Sijaumia sana lakini, naendelea vizuri kidogo.
Nenda hospital bro
 
Ndugu za mwamko,

Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea Kidimbwi wakati narudi home.

Ilikuwa hivi, nimetoka pale naelekea kwenye parking; wakati natembea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi, nikawa najaribu kuikwepa ndipo iliponizoa na kunirusha huko.

Sijaumia sana lakini, naendelea vizuri kidogo.
Pole sana ndugu
 
Jamani tujifunze kuwafariji wenzetu wanapopatwa na shida. Hizi kejeli hazisaidii. Hiki unachokifanya unapanda mbegu, iko siku na wewe unapata matatizo watu eanakubeza pia.
Wala usipoteze muda maana hawa Watu huwa hawakosekani, JF ni kama Mtaani, kuna Walevi, Wavuta bangi, Wahuni, Waliovurugwa tu na stress n.k.

Hivyo ni kama upo mtaa wa Congo, Mtu anakupiga kikumbo bila ya sababu na ukitaka kumuuliza ndio unatafuta balaa, ni bora kumuacha aende zake.

Pole kwa Mleta uzi ingawa naona unapunja taarifa mpaka Mdau wa kwanza kuchangia akalazimika kuuliza maswali muhimu....na hapo alipotoroshwa Dereva na huyo Bodaboda kwamba aliacha hilo Gari lake lilikugonga ama?.
 

Attachments

  • Anzio 33.mov
    7.1 MB
Back
Top Bottom