Nimepata ajali jana maeneo ya Kawe

Nimepata ajali jana maeneo ya Kawe

Wew Huna pesa ,Huna gari ,Huna hell ,a pikipiki ,Huna lolote alfu unakwenda kujirusha kidimbwi HV unaakili Kweli

Kwann usingebaki ktk bar za mataani kwako kuliko kwenda kujidhalilisha na pesa kiddgo uliyonayo si Bora ungebaki Juliana pale

Next time usirudie upumabvy huo utakufa kizembe San
 
Inabidi sasa hao wamiliki wa kidimbwi,waanze kuwasaidia gharama za matibabu mnapopata ajali.....

Mwenzako huyu naye aliingia chini ya daraja la mlalakuwa

Ova
IMG-20221223-WA0017.jpg
 
Ndugu za mwamko,

Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea Kidimbwi wakati narudi home.

Ilikuwa hivi, nimetoka pale naelekea kwenye parking; wakati natembea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi, nikawa najaribu kuikwepa ndipo iliponizoa na kunirusha huko.

Sijaumia sana lakini, naendelea vizuri kidogo.
Eti Kidimbwi[emoji23][emoji23],ila pole,kwani na wewe ulikuwa umelewa...?.
 
Back
Top Bottom