Usinifokee
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,502
- 3,522
Eti niliona gari inakuja kwa nyuma inayumba yumba[emoji2][emoji2]
Pole mkuu ungeenda hospitali ufanye check up kabisaNdugu za mwamko,
Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea Kidimbwi wakati narudi home.
Ilikuwa hivi, nimetoka pale naelekea kwenye parking; wakati natembea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi, nikawa najaribu kuikwepa ndipo iliponizoa na kunirusha huko.
Sijaumia sana lakini, naendelea vizuri kidogo.
Pisi Kali, nywele ndefu, macho meupe kama hana damu.
Majini hawana vitambi, warefu, chuchu sa sita
Mim ni mmja waoAhahahahh mh wewe uliwajuaje
Aisee!,pole sana
Mim ni mmja wao
Aah kumbe lile eneo ulilogongwa jana rudi tena leo sa tisa usiku. Utajuta kitambaa cheupe kichukue ukiweke kweny maji ukifika nyumbaniBas mimi nawapenda nasikiaga jini akikupenda et anakupa utajili mwingi nipende bc niaze kutumia magar
Aah kumbe lile eneo ulilogongwa jana rudi tena leo sa tisa usiku. Utajuta kitambaa cheupe kichukue ukiweke kweny maji ukifika nyumbani
Sa hiv huku majini ni giza Tanesco wamekata umeme.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbona utoi maelezo yalio nyooka jini wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntakujibu ndyooooh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikikuuliza unacheka nini utanijibu?
🏃🏃Mim ni mmja wao
Ntakujibu ndyooooh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi hapa
Sijawahi ona jiniRudi hapa
Leo umelionaSijawahi ona jini
Boda alinunuliwa kwa dau kubwa akasahau utu.
Na hapo itakua alikunanga kinoma, akamsifia boss mpya kua ni uzembe wa jamaa (wewe), anakaaje parking kindezi ndezi, tena ili kuua soo ungemmaliza kabisa (hapo kapewa 20k ya bia)
Leo umeliona