whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,928
- 9,448
Umefikia wapi mkuu, vp mwenye karudi, ulicheki x ray?Unatutisha
Umefikia wapi mkuu, vp mwenye karudi, ulicheki x ray?Unatutisha
Nakwambia kweliUnatutisha
Umefikia wapi mkuu, vp mwenye karudi, ulicheki x ray?
Sawa mkuu, pole sana, nina mtoto wa mjomba wangu alikuwa anatembea pembeni ya barabara gari ikamfata ikamuua.Kesho naenda tena police
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann ulewe na huwezi kujisimamiaHaya embu nijibu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa we Kidimbwi ulienda kufanya nini? Usirudie tena kwenda huko.Ndugu za mwamko,
Kwa upande wangu ni mbaya nimepata ajari jana wakati natokea Kidimbwi wakati narudi home.
Ilikuwa hivi, nimetoka pale naelekea kwenye parking; wakati natembea nikaona gari inakuja nyuma inayumba yumba na kwa mwendo kasi, nikawa najaribu kuikwepa ndipo iliponizoa na kunirusha huko.
Sijaumia sana lakini, naendelea vizuri kidogo.
Sasa we Kidimbwi ulienda kufanya nini? Usirudie tena kwenda huko.
Kwani nilikwambia niko Kidimbwi au ulijiamulia tu..Nilikuwa nakutafuta wewe
Kwani nilikwambia niko Kidimbwi au ulijiamulia tu..
Kijana usinichezee, mimi nilishaacha kuhudhuria sehemu kama hizo. By the way, unaendeleaje saa hizi?Ulisema tukutane hap[emoji23][emoji23][emoji23]