Nimeota:Ameamua kuachia kijiti

Nimeota:Ameamua kuachia kijiti

Kuna wahuni (wachawi) flani wakitaka kukupyambya basi huwa wanakupa vindoto vya kifala kama hivyo Ili wafanye kazi yao vizuri. Busara ilikuwa kujichunguza masega kwanza kuona yamevurugikaje kabla ya kukimbilia Huku........amka ndugu wanakutia ulofa hao🤣🤣🤣🤣🤣
#Kataa Wahuni
 
Usisahau kuwaota na wazazi wako kwa jinsi wanavyoteseka kijijini!
Wazazi wangu hapa wanaingiaje? by the way, wazazi wangu wa good time maana hawategemei kiinua mgongo cha serikali ya cvm, wala hawajanisomesha kwa mkopo wa serikali ya ccm, na pia sijasoma shule za serikali ya ccm
 
Wazazi wangu hapa wanaingiaje? by the way, wazazi wangu wa good time maana hawategemei kiinua mgongo cha serikali ya cvm, wala hawajanisomesha kwa mkopo wa serikali ya ccm, na pia sijasoma shule za serikali ya ccm
Hizo zote stress unless utoa taarifa zako tuzi verify. Ila wakumbuke sana wazazi dogo. Wanapiga sana mizinga kijijini.
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Ukiota unakunya sukuma mzigo
 
Ukiota unakunya sukuma mzigo
Unachoandika kina akisi uhalisia wako, mtu mzima mwenye akili hawezi kuandika maneno yasiyo na staha kama haya uliyoandika
 
#Kataa Wahuni
Hakuna muhuni wa kumzidi yule aliyeolewa ulaya na Sasa anataka wote waolewe huko kama yeye......yeah, tunawakataa wahuni kwa nguvu zote na ndo maana wengine wapo mahakamani Sasa hivi wakiadibishwa.
 
Hizo zote stress unless utoa taarifa zako tuzi verify. Ila wakumbuke sana wazazi dogo. Wanapiga sana mizinga kijijini.
Maisha yangu uya verify kama nani, jikite kwenye mada, kama wazazi wako wapo kijijini sio kila mtu wazazi wake wapo kijijini, wengine tumezaliwa hapa mjini na ndio maisha yetu yapo hapa

Uwe na jioni njema
 
Hakuna muhuni wa kumzidi yule aliyeolewa ulaya na Sasa anataka wote waolewe huko kama yeye......yeah, tunawakataa wahuni kwa nguvu zote na ndo maana wengine wapo mahakamani Sasa hivi wakiadibishwa.
Naheshimu mawazo yako mkuu
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Ndoto ya mchana ya nyumbu
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi mwenye uhitaji unipigie 0625784681. Au wasap 0673294681. Ni nyumba ina apartments 2 na vyoo ndani.

Bei tsh. 23,000,000.00

Nitapunguza kidogo.
Nicheki wasap kama unahitaji picha na detailed information. Kataa mawinga.
 
Back
Top Bottom