amoc thedon
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 293
- 464
Habari ndugu , samahani kwa usumbufu ila nahitaji msaada/ ufafanuzi/ ushaur katika jambo hili
Mimi Nina rafiki yangu wa kike bado anaishi nyumban kwao , yeye anaishi na bibi ake kizaa mama ,
Bas leo amenitafta na akaniambia ameota ndoto kua ypo mahala flan hapafam anapewa na kula nyama , na alipo situka usingizin akawa anajiuliza maan ya hyo ndoto, lakin akiwa bado kwenye tafakari akajikuta amepitiwa na usingizi tena, baada ya kulala ile ndoto ikawa inaendelea , ikaanza anamhoji mtu asiemfaham kwamba hii nyama ni yanini mbona ila ladha mbaya na tofaut na nyama zingne ( huyo anaehojiwa nae pia ameshiriki kula japo hamfaham), lakini kabla hajapata jibu akatokea mtu mwingne nae pia hamfaham akamwambia "Bora mwenzio kala nyama ya mwanamke lakini ww umekula ya mwanamme".
Baada ya hapo akastuka ikiwa tayari ni asubuh uku kinywan akiwa anahis kichefu chefu ambacho baadae kilitulia baada ya kuamka, hivyo akanitafata na kunisimulia ili nimpe ushauri .
Lakini mimi nilimwambia kua itakua ni ndoto tu haina la maana, yeye akasema ndoto hizo za kuota anakula nyama ama vitu vingne kwenye masherehe na watu asio wafaham zimekua nyingi na haiwez pita week2 hajaota ndo maan akaomba ushauri.
Nilipoendelea kumdadis hizo ndoto zimeanza lini akasema ni mwaka huu , lakin kabla hanaanza kuota hizo ndoto kuna siku aliota yupo na bibi ake , hyo bibi akiwa amevaa mavaz ya asili yaan kaniki kama za waganga et akimuelekeza jambo kama anamfundisha kuwanga.
Alipo stuka alfajir akamueleza bibi ake katika hali ya kawaida ,kua bibi nimeota kua unanifundisha uchawi ,
Hyo bibi baada ya kuambiwa hivyo akawa mbogo na akatukana sana ,japo jambo hilo liliisha lkn kila hyo bint akifanya jambo lolote la kumwuuz huyo bibi hukumbushia kua " ndo maana uliniita Mimi mchawi"
Hivyo nimelileta kwako ili nipate kutambua kama kuna uchafu wowote ambao bint hyo anafanyiwa na afanye Nini kuepuka ile hali , maan anadai imekua kero sasa. Ahsante
NB : bibi ake ni mtu wa dini sana ya kilokole anafunga na mda mwingne kulala kabisa kanisani akiomba
Mshana Jr
Sent from my TECNO CE7j using JamiiForums mobile app
Mimi Nina rafiki yangu wa kike bado anaishi nyumban kwao , yeye anaishi na bibi ake kizaa mama ,
Bas leo amenitafta na akaniambia ameota ndoto kua ypo mahala flan hapafam anapewa na kula nyama , na alipo situka usingizin akawa anajiuliza maan ya hyo ndoto, lakin akiwa bado kwenye tafakari akajikuta amepitiwa na usingizi tena, baada ya kulala ile ndoto ikawa inaendelea , ikaanza anamhoji mtu asiemfaham kwamba hii nyama ni yanini mbona ila ladha mbaya na tofaut na nyama zingne ( huyo anaehojiwa nae pia ameshiriki kula japo hamfaham), lakini kabla hajapata jibu akatokea mtu mwingne nae pia hamfaham akamwambia "Bora mwenzio kala nyama ya mwanamke lakini ww umekula ya mwanamme".
Baada ya hapo akastuka ikiwa tayari ni asubuh uku kinywan akiwa anahis kichefu chefu ambacho baadae kilitulia baada ya kuamka, hivyo akanitafata na kunisimulia ili nimpe ushauri .
Lakini mimi nilimwambia kua itakua ni ndoto tu haina la maana, yeye akasema ndoto hizo za kuota anakula nyama ama vitu vingne kwenye masherehe na watu asio wafaham zimekua nyingi na haiwez pita week2 hajaota ndo maan akaomba ushauri.
Nilipoendelea kumdadis hizo ndoto zimeanza lini akasema ni mwaka huu , lakin kabla hanaanza kuota hizo ndoto kuna siku aliota yupo na bibi ake , hyo bibi akiwa amevaa mavaz ya asili yaan kaniki kama za waganga et akimuelekeza jambo kama anamfundisha kuwanga.
Alipo stuka alfajir akamueleza bibi ake katika hali ya kawaida ,kua bibi nimeota kua unanifundisha uchawi ,
Hyo bibi baada ya kuambiwa hivyo akawa mbogo na akatukana sana ,japo jambo hilo liliisha lkn kila hyo bint akifanya jambo lolote la kumwuuz huyo bibi hukumbushia kua " ndo maana uliniita Mimi mchawi"
Hivyo nimelileta kwako ili nipate kutambua kama kuna uchafu wowote ambao bint hyo anafanyiwa na afanye Nini kuepuka ile hali , maan anadai imekua kero sasa. Ahsante
NB : bibi ake ni mtu wa dini sana ya kilokole anafunga na mda mwingne kulala kabisa kanisani akiomba
Mshana Jr
Sent from my TECNO CE7j using JamiiForums mobile app