Athari za kula sana viporo. Ndoto huja kama fumbo imekuwaje ipo wazi hivyo kama za watoto wa sinzaWadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru
Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana
Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?
Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Utakuwa una mapepo. Nenda kwa mwaposa akayatoe.Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru
Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana
Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?
Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Utakuwa una mapepo. Nenda kwa mwaposa akayatoe.
Unataka aende akaongezewe mapepo na uchawi? Kwa nini usimshauri aende kwa watumishi wa Mungu?
Hapa ndio tunajua haikuwa ndoto ila ni stressNo reform no election, #freelissu
Kumbe umemuota mama yako anaachia jitiKwenye ndoto yangu sijamtaja mama yako, sijui hapa ameingiaje
Imbombo ngafu fijoooooImbombo ngafu mwana wane...
Kwa vile ni ndoto, wewe endelea kulala tu ndg yangu. Mtu alikwisha sema yeye yupo mpaka 2030, wala hajui kuwa kuna raia wanapiga kura wala nini, na hata hajui kuna Mungu anaweza kumuita kabla ya muda huo wala nini. Sio ndoto mbaya, ila endelea kulala, wenzako wako radhi kukanyaga damu mbichi za raia wao ili waendelee kuwepo madarakani na sio vinginevyo.Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru
Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana
Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?
Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Log out mapema tu, wala huna sababu ya kusoma huo upuuzi wa wapuuzi, tuache sisi wapuuzi tuendelee kusoma nyuzi za kipuuzi kutoka kwa wapuuzi wasiopaswa kupuuzwa na wale wapuuzi kutoka kwenye ile nyumba ya wapuuzi.Nilisikia wanataka kufuta hili jukwaa, itakua heri, maana pamejaa upuuzi na wapuuzi tu humu
Bado yapo sana tu, yameshawaingia watu mioyoni mwao, ipo kwenye blood stream yao kabisa.Yale manoo noo yameishia wapi?
Tuendelee kusubiri ndoto nyingine mkuu, tusikate tamaaKwa vile ni ndoto, wewe endelea kulala tu ndg yangu. Mtu alikwisha sema yeye yupo mpaka 2030, wala hajui kuwa kuna raia wanapiga kura wala nini, na hata hajui kuna Mungu anaweza kumuita kabla ya muda huo wala nini. Sio ndoto mbaya, ila endelea kulala, wenzako wako radhi kukanyaga damu mbichi za raia wao ili waendelee kuwepo madarakani na sio vinginevyo.
Kati ya polepole na maudenda nani shujaa wenu sasaivi?Bado yapo sana tu, yameshawaingia watu mioyoni mwao, ipo kwenye blood stream yao kabisa.
Hii ndoto labda ingeotwa na Britannica.Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru
Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana
Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?
Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka