Nimeota:Ameamua kuachia kijiti

Nimeota:Ameamua kuachia kijiti

Tumsubiri huyu
 

Attachments

  • 20250709_172117.jpg
    20250709_172117.jpg
    131.6 KB · Views: 22
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Itabaki kuwa ndoto tu
 
Mimi nimeota amepata uchizi
Niliona jambo hilli pia,

Alikuwa akiongea mwenyewe,anarusha mikono na kuongea yasoeleweka,

Akaingia choo Cha jinsia isiyo yake, kumbe, ndani palikuwa na maadui zake waliokuwa wamejificha mle,

Maadui wakamuinea huruma sababu ni kiongozi wa watu wengi, punde tu wakaingia walinzi na kummsaidia kutoka mle, na wakawakuta wale maadui zake na kuwa weka kati, lakini kwa kuwa mtu yule alikuwa amechanganyikiwa, hakuweza kuamua chochote jambo lililosababisha maadui zake waachiwe huru.

Tumwombee!

Ila,

HATOGOMBEA.
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
tanganyika na miujiza --- safari ni ndefu
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Nami nimeota hivyohivyo ili wenye haki ya kukimbia mbio ndefu waendelee kwani wanasema yeye kadandia njiani. Ila muda ndo utasema na historia kuandokwa.
 
Nami nimeota hivyohivyo ili wenye haki ya kukimbia mbio ndefu waendelee kwani wanasema yeye kadandia njiani. Ila muda ndo utasema na historia kuandokwa.
Hii ndoto lazima itimie maana watu wengi wameota kama mimi
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Unakumbuka ni muda gani umeshtuka baada ya ndoto hii ili nicheki kitu flani.
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Usisahau kuwaota na wazazi wako kwa jinsi wanavyoteseka kijijini!
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Rudi tuu uendelee kujilalia usingizi wako!. Soma HII
P
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Kuna wahuni (wachawi) flani wakitaka kukupyambya basi huwa wanakupa vindoto vya kifala kama hivyo Ili wafanye kazi yao vizuri. Busara ilikuwa kujichunguza masega kwanza kuona yamevurugikaje kabla ya kukimbilia Huku........amka ndugu wanakutia ulofa hao🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Wacha na mie nikusogelee ubavuni nione unavyoota huko ndotoni🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom