Nimeota:Ameamua kuachia kijiti

Nimeota:Ameamua kuachia kijiti

yeye mwenyewe alisema alitaka kumwachia mafuru, sasa sijui nani anataka kumwachia kwa sasa..
 
Hyo sio ndoto ni mawazo yako tu uliyoyajenga kwenye fikra zako
Ndoto yenye ujumbe mzito haiwezi kukutokea mapema hv jion ingekuja wakat wa manane pale Gabriel anapitisha roll call
kwahyo unatushauri sisi wazee wa amsha popo a.k.a hakuna kulala tujitahidi kulala mida hyo ili tuote ndoto.
 
Sema kweli, tunaiombea ndoto itimie...
171006.jpg
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Usije ukalala mazima
 
Atokeeeeeeee tuuu si hatuna habari nae.
Akaongoze waislam kwao kule kama watakubali wale wazeee😀😀😀😀😀
 
Wadau
Nimestuka muda huu baada ya kuota ndoto ngumu sana, eti asiyepingwa ameamua kuachia kijiti na ameiachia tanganyika huru

Kwenye ndoto hii ya muda huu nimeota kwamba vyombo vya dolari vimeamua kuchakata karata na kutoa ushauri kiungwana

Hivi mnadhani hii ndoto itakua ya kweli?

Mimi narudi kulala ili niendelee kuota mengi zaidi,nitawasimulia tena nikiamka
Wewe endelea kuota tu.
Mama anajenga nchi, uchumi tumekua sana chini yake.
 
Watu kama huyo uliyemuota ni Makenge,Huwa hayasikii mpaka kipigo cha kuwatoa damu za Masikio.Hawezi kuachia kirahisi mpaka adhabu impate
 
Back
Top Bottom