Jana katika matembezi yangu ya kutafuta AJIRA mitaa ya Indira Ghandi kule mnazi mmoja, nikapita sehemu moja inaitwa GoldePlaza, ndipo nikaokota peni iliyoandikwa "QUEEN'S GEM & JEWELLERY DAR ES SALAAM" hii peni ni nzito kiasi na ni ya kioo, nilibaki nayo na kurudi nayo hadi home Tabata.
Sasa jana usiku nilipatwa na mshangaobaada ya kuona kile kioo kilichopo kwenye peni kutoa mwanga wa ajabu baada ya kuiweka juu ya meza, ilibidi niitoe na kuiweka kwenye bag, leo asubuhi nimeitoa na kuikagua vizuri na hadi sasa nimefikia hatua ya kuivunja na ndani nimekuta vijiwe vinang'aa sana ni kama almasi."sijui sina sifa za madini ya almasi ni zipi"
Kwa yoyote mwenye msaada katika hili anisaidie maana inaweza ikawa ndio nimetusua kwa style hii.
![]()
Umejuaje? au na wewe uliwahi kufuga majini kwenye kalamu?Hayo yatakuwa ni madini ya risasi (Lead) na ni hatari sana kwa afya yako. Otherwise watu wengine wanatumia pen kama hiyo kufugia majini.
Wahi kanisani kwetu ufanyiwe maombi kabla mabaya hayajakukuta...
Jamaa si alikuwa anatafuta kazi, mungu amemsaidiaKwani yeye alikuwa anatembea bure? (jamani acheni dharau kwa wenzenu).
HahaaaMleta uzi katokea mbavuni, naona uko alipo anafikiria jinsi ya kurudi katika uzi wake, naona atarudi kiufundi zaidi, let & see.
Kama Upo akilini mwangu ,kesho mtu analia hapa scenario inaanzaga hivi hivi, uokote madini mpaka yana mark ya duka yalikotoka then ujiweke wazi kutaka ushauri kwenye mtandao ! Plz usitufanye wajingaUtapeli UtapeliWork
Kesho atakuja mtu kulalamika katapeliwa hela hapa

Tupe mrejesho bhana mbona umetokomea mazima?Jana katika matembezi yangu ya kutafuta AJIRA mitaa ya Indira Ghandi kule mnazi mmoja, nikapita sehemu moja inaitwa GoldePlaza, ndipo nikaokota peni iliyoandikwa "QUEEN'S GEM & JEWELLERY DAR ES SALAAM" hii peni ni nzito kiasi na ni ya kioo, nilibaki nayo na kurudi nayo hadi home Tabata.
Sasa jana usiku nilipatwa na mshangaobaada ya kuona kile kioo kilichopo kwenye peni kutoa mwanga wa ajabu baada ya kuiweka juu ya meza, ilibidi niitoe na kuiweka kwenye bag, leo asubuhi nimeitoa na kuikagua vizuri na hadi sasa nimefikia hatua ya kuivunja na ndani nimekuta vijiwe vinang'aa sana ni kama almasi."sijui sina sifa za madini ya almasi ni zipi"
Kwa yoyote mwenye msaada katika hili anisaidie maana inaweza ikawa ndio nimetusua kwa style hii.
![]()
Ningekua mm ni wewe ningesubiri japo wiki 2 zipitedaaaah!!! ngoja niende kaka
Utapeli UtapeliWork
Kesho atakuja mtu kulalamika katapeliwa hela hapa
Kuwa makini kma kwel ni mzigo,,mahela hayooo
uyo jamaa anajisumbua tu, hakuna cha almasi hapo, hakuna mjinga wa kuangusha almasi kijinga hivyo. hongera zake kwa kuokota mawe ya kung'aa.
Hapoana mkuu hizo pen ni za promo kutoka kwa hao majamaa ni masonara wapo hapa dar kariakoo mtaa wa indra kwenye jengo la golden plaza pitia Queens Jewellery so hizo pen ni kama bango lao la matamgazo tu na si vinginevyo.na humo ndani ni aina ya madini yenye mng'ao kama almasi na sio almasi na hayana thaman yeyote.
Kwani sonara anatumia yeye almasi zake? au anauza kwa wateja wake?Kuna mawili, huenda ni almasi au ni vioo tu. Kama ni almasi bado usiwe na mategemeo makubwa saana, maana zinaonekana ni ndogondogo sana. Na kwa vile zimeshachongwa, masonara wanajuana mikato yao, na most likely zinakuwa engraved na alama za sonara husika, hivyo ni rahisi kujulikana ni za nani. Zingekuwa uncut ni rahisi kuuza kwa wanunua vito wamejaa tele, lakini ni vidogovidogo sana bei yake si kivile. Lakini zinaanzaje kuwekwa kwenye pen? Huenda mwenye nazo ni smuggler na hiyo ni njia yake ya kuficha. Anyway, tupe mrejesho