Nimeokota peni ya ajabu

Nimeokota peni ya ajabu

Wewe wacha wenge..na usije kuweka matumaini makuuubwa kwenye hiyo kalamu..uwezekano wakutokua almasi upo, lakini pia kuna uwezekano hata kama ni almasi basi ikawa ni pesa kidogo kulingana na inavyoonekana.
Pili..tuliza akili na usitake kuuza wala kumwonyesha mtu kwa sasa....kaa nayo angalau miezi 3hadi 6 ndo uanze kutaka kuuza.
Kumbuka...kama kweli ni almasi na ninyingi halafu umewaambia waty wengi then utakua kwenye Dangerzone...
Ila nina wasiwasi na wewe...unawekua tapeli tu..
 
Huyu jamaa kanitumia PM ameniambia kuwa amepata PM zaidi ya 100, watu wanataka wafanye nae biashara, jaman huku ndani SI mchezo looh
 
  • Thanks
Reactions: MC7
cc mshana jr
kwanini madini madini yanahusishwa na uchawi hasa wa damu ya mwanadamu?
Suala hapa sio tu ushirika bali kutoana Roho Live kwa ajili ya diamond ni kawaida sana . Pia kumbuka huyo muokotaji anaonekana kuwa mgeni kwenye madini. We call it blood diamond
 
Itakuwa almasi hiyo. Kwa experience niliyopata toka kwa uncle yangu aliyekuwa ni dealer wa madini sichelei kuamini kuwa ndo yenyewe. Dealers wengi hutumia kila aina ya ujanja kuyaficha madini yasishtukiwe kirahisi hasa wakati wa safari na hata akivamiwa wezi wasishtukie kuwa ana mzigo maana wanawezakuona na pen tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom