Nimeokota peni ya ajabu

Nimeokota peni ya ajabu

Nakushauri pia,tulia,jioni rudi mwambie Jirani kumbe ile peni ni Urembo tuuu,pia,kwenda kuyauza kwa sasa hivi subiri kwanza,tulia,maana waliyoyapoteza bila shaka wanayatafuta hadi maeneo watu wanayouzia madini,hivyo waweza kwenda kwa haraka nao wakakudaka,jipe miezi,then kauze kidogodogo,pia acha kushirikisha watu,maana pesa na madini vinaua sana,bila kujali ni Ndugu au mtu baki,pia kuwa makini na PM

Ushauri mzur sana. Binadamu sio wa kuamini. Unaweza kushangaa hata huyo jirani akamfanyia umafia. Na huyo jirani anaweza kupayuka akamuingiza kwny matatizo. Kwa hali hyo ningekuwa mm ningehama kwa muda mtaa bila taarifa kwa mtu yeyote.
 
Utapeli UtapeliWork
Kesho atakuja mtu kulalamika katapeliwa hela hapa
Utapeli UtapeliWork
Kesho atakuja mtu kulalamika katapeliwa hela hapa
Nakushauri pia,tulia,jioni rudi mwambie Jirani kumbe ile peni ni Urembo tuuu,pia,kwenda kuyauza kwa sasa hivi subiri kwanza,tulia,maana waliyoyapoteza bila shaka wanayatafuta hadi maeneo watu wanayouzia madini,hivyo waweza kwenda kwa haraka nao wakakudaka,jipe miezi,then kauze kidogodogo,pia acha kushirikisha watu,maana pesa na madini vinaua sana,bila kujali ni Ndugu au mtu baki,pia kuwa makini na PM
Hongera sana bro! Ucende na hiyo pen ila nenda madini hya tena baadh so yote. Umeagana na ukapuku.
By
Kumbe ni wewe ndio umeiokota enheeee..?
Kuwa makini hata na PM za humu.
Kuwa makini sana na maisha yako tangia sasa... Unapotoka jitahidi asijue yeyote yule hata ndugu yako wa damu. Kosa kubwa umemjulisha mpaka jirani!
Usikurupuke utaweka maisha yako rehani kwa mda nfupi sana
Kweli duniani Si mahala salama tena, Tumsifu Yesu kristu
 
Jana katika matembezi yangu ya kutafuta AJIRA mitaa ya Indira Ghandi kule mnazi mmoja, nikapita sehemu moja inaitwa GoldePlaza, ndipo nikaokota peni iliyoandikwa "QUEEN'S GEM & JEWELLERY DAR ES SALAAM" hii peni ni nzito kiasi na ni ya kioo, nilibaki nayo na kurudi nayo hadi home Tabata.

Sasa jana usiku nilipatwa na mshangao baada ya kuona kile kioo kilichopo kwenye peni kutoa mwanga wa ajabu baada ya kuiweka juu ya meza, ilibidi niitoe na kuiweka kwenye bag, leo asubuhi nimeitoa na kuikagua vizuri na hadi sasa nimefikia hatua ya kuivunja na ndani nimekuta vijiwe vinang'aa sana ni kama almasi."sijui sina sifa za madini ya almasi ni zipi"

Kwa yoyote mwenye msaada katika hili anisaidie maana inaweza ikawa ndio nimetusua kwa style hii.
Hilo jini bro
 
nilikuwa nataka kujua kilichopo ndani

Aaaarrgghh.. umeharibu bana.. kwnn uvunje lkn..? Ungechukua muda kuijua vizuri thamani yake etc.. ungeingia hata google kujua zaidi.. sasa umeivunja haraka sana.. huenda ndio ingekuwa baraka na bahati yako kimiujiza, hiyo peni ingekupa maisha mapya.. hayo mambo yapo.. sasa ww umeivunja haraka hivyo..?

 
Jana katika matembezi yangu ya kutafuta AJIRA mitaa ya Indira Ghandi kule mnazi mmoja, nikapita sehemu moja inaitwa GoldePlaza, ndipo nikaokota peni iliyoandikwa "QUEEN'S GEM & JEWELLERY DAR ES SALAAM" hii peni ni nzito kiasi na ni ya kioo, nilibaki nayo na kurudi nayo hadi home Tabata.

Sasa jana usiku nilipatwa na mshangao baada ya kuona kile kioo kilichopo kwenye peni kutoa mwanga wa ajabu baada ya kuiweka juu ya meza, ilibidi niitoe na kuiweka kwenye bag, leo asubuhi nimeitoa na kuikagua vizuri na hadi sasa nimefikia hatua ya kuivunja na ndani nimekuta vijiwe vinang'aa sana ni kama almasi."sijui sina sifa za madini ya almasi ni zipi"

Kwa yoyote mwenye msaada katika hili anisaidie maana inaweza ikawa ndio nimetusua kwa style hii.

1469262387252-jpg.369687
Hyo ni diamonds sema kua makini....
umeshakata kioo??
Jana katika matembezi yangu ya kutafuta AJIRA mitaa ya Indira Ghandi kule mnazi mmoja, nikapita sehemu moja inaitwa GoldePlaza, ndipo nikaokota peni iliyoandikwa "QUEEN'S GEM & JEWELLERY DAR ES SALAAM" hii peni ni nzito kiasi na ni ya kioo, nilibaki nayo na kurudi nayo hadi home Tabata.

Sasa jana usiku nilipatwa na mshangao baada ya kuona kile kioo kilichopo kwenye peni kutoa mwanga wa ajabu baada ya kuiweka juu ya meza, ilibidi niitoe na kuiweka kwenye bag, leo asubuhi nimeitoa na kuikagua vizuri na hadi sasa nimefikia hatua ya kuivunja na ndani nimekuta vijiwe vinang'aa sana ni kama almasi."sijui sina sifa za madini ya almasi ni zipi"

Kwa yoyote mwenye msaada katika hili anisaidie maana inaweza ikawa ndio nimetusua kwa style
1469262387252-jpg.369687
 
Jana katika matembezi yangu ya kutafuta AJIRA mitaa ya Indira Ghandi kule mnazi mmoja, nikapita sehemu moja inaitwa GoldePlaza, ndipo nikaokota peni iliyoandikwa "QUEEN'S GEM & JEWELLERY DAR ES SALAAM" hii peni ni nzito kiasi na ni ya kioo, nilibaki nayo na kurudi nayo hadi home Tabata.

Sasa jana usiku nilipatwa na mshangao baada ya kuona kile kioo kilichopo kwenye peni kutoa mwanga wa ajabu baada ya kuiweka juu ya meza, ilibidi niitoe na kuiweka kwenye bag, leo asubuhi nimeitoa na kuikagua vizuri na hadi sasa nimefikia hatua ya kuivunja na ndani nimekuta vijiwe vinang'aa sana ni kama almasi."sijui sina sifa za madini ya almasi ni zipi"

Kwa yoyote mwenye msaada katika hili anisaidie maana inaweza ikawa ndio nimetusua kwa style hii.

1469262387252-jpg.369687
weweeeeeeeeeeeeee...madini hayo mkuu...kayauze faster...umenitusuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom