Nimeokota peni ya ajabu

Nimeokota peni ya ajabu

Hayo yatakuwa ni madini ya risasi (Lead) na ni hatari sana kwa afya yako. Otherwise watu wengine wanatumia pen kama hiyo kufugia majini.
Wahi kanisani kwetu ufanyiwe maombi kabla mabaya hayajakukuta...
kitu chochote kinaweza kutokea,ngoja niende then nakuja na mrejesho
 
Kuwa makini kijana pesa na madini vinaua, kama kweli ni almas waliopoteza wanaweza kukutafuta for any how, take care, mafia is a killing game for money!!!!
kweli kaka,ngoja niende alafu nitarudi kuwajuza
 
Hongera sana bro! Ucende na hiyo pen ila nenda madini hya tena baadh so yote. Umeagana na ukapuku.
 
Nakushauri pia,tulia,jioni rudi mwambie Jirani kumbe ile peni ni Urembo tuuu,pia,kwenda kuyauza kwa sasa hivi subiri kwanza,tulia,maana waliyoyapoteza bila shaka wanayatafuta hadi maeneo watu wanayouzia madini,hivyo waweza kwenda kwa haraka nao wakakudaka,jipe miezi,then kauze kidogodogo,pia acha kushirikisha watu,maana pesa na madini vinaua sana,bila kujali ni Ndugu au mtu baki,pia kuwa makini na PM
 
Kaka hiyo ni "ng'ana" hiyo....Kwa sisi wabeshi na wezi wa almasi katika mgodi wa Mwadui hatuulizi maswali mara mbili mbili....Mkuu hiyo ni almasi kabisaaaaa.
Lakini kuwa makini...watu sio wajinga kudondosha almasi kijinga jinga!!Hiyo pen ni ya mtu anaweza tembelea maeneo ya kuuzia madini akaweka watu wake kukutega then ukapata matatizo.

Lakini kuna mstari mwembamba sana kati ya almasi na ushirikina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom