Nimemzika na mama mzazi

Nimemzika na mama mzazi

Kufiwa kunauma mnooo...pole sana dear..Mungu Akupe uvumilivu mkubwa mdiba hautaisha hukoo....utalia maisha yote,kuna siku utapata madhila utaanza lia tena!
Pole mnoo
 
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole sana!
 
Pole sana.Ni ngumu sana kuzoea maumivu ya kuondokewa na mtu wa karibu ila yote yako nje ya uwezo wa binadamu.Tumshukuru Mungu kwa yote.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Nakadori Mambo ya Mungu ni zaidi ya mwandamu.Mungu anao mpango nawe.usije ukafika mahali pa kusahau yale mema yote ambayo Mungu alikwishakufanyia.Kifo kipo,ni jambo ambalo haliepukiki,ila uchungu pia upo kwa sababu sisi ni binadamu.Ila Muombe Mungu akupe faraja ili uweze kupita salama kwa kuingia msimu huo mpya wa maisha bila ya mama.
 
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole sana. Tunakuombea Mungu akupe uwepesi upite salama mtihani mgumu ulionao.
 
Pole sana mpendwa, Muombe Mungu akusahaulishe na akupe faraja ili uendelee na shughuli zako Kama kawaida
 
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole sana mkuu
 
I feel your pain. Nimemzika mamangu kipindi kirefu sasa lakini maombolezo hayaishi moyoni. Mara naota, mara nafikiria... Kuna wakati naota ndio amekufa, basi nikiamka najikuta natoka machozi halisi - natoka machozi halisi usingizini. Mungu akupe nguvu.
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
 
Pole sana ndugu ni msiba mkubwa sana kufiwa na mzazi tunakuombea kwa Mungu uvuke salama ktk kipindi hiki kigumu cha kufiwa na MAMA mzazi. Roho ya marehemu MAMA ipate pumziko la milele apumzike kwa amani Amina.
 
Alivyokuwepo mama yangu nilikuwa nikipata Mia mbili namtumia. Leo hayupo nikikosa Mia mbili nalia Bora mama angekuwepo wakati pengine asingenisaidia kupata iyo Mia mbili. Ila machozi yanatoka balaa. Ni mwaka Ila ni Kama Jana.
Pole sana...
Uchungu haulezeki kabisa kumpoteza mama .
Wakati wa msiba niliambiwa kuwa msiba wa mama hauishi hakika nimeamini hivyo kila siku unauguza tu maumivu .
 
I feel your pain. Nimemzika mamangu kipindi kirefu sasa lakini maombolezo hayaishi moyoni. Mara naota, mara nafikiria... Kuna wakati naota ndio amekufa, basi nikiamka najikuta natoka machozi halisi - natoka machozi halisi usingizini. Mungu akupe nguvu.
Pole sana mkuu. Mungu atatuvusha
 
Pole ndugu, Mungu akutie nguvu. Itakuwia vigumu kuizoea hali hiyo, lakini utastahimili. Najuwa uchungu wa kuondokewa na mzazi, lakini huo kwako ndio utu u-zima. Majaribu haya yanakukomaza zaidi, lakini jipe moyo, kwani yeye katangulia, nasi tutamfuata, na tunaamini mwishowe tutaonana tena. Uwe na siku njema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom