Nimemzika na mama mzazi

Nimemzika na mama mzazi

Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]

Pole sana Nakadori

Mungu akupe faraja ya pekee wewe na familia yako kipindi hiki kigumu unachopitia.

Wafilipi 3: 20-21
Lakini uraia wetu ni mbinguni. Na tunatarajia Mwokozi kutoka huko, Bwana Yesu Kristo, ambaye, kwa nguvu inayowezesha kuleta kila kitu chini ya udhibiti wake, atabadilika miili yetu ya chini ili wawe kama mwili wake wa utukufu.

Rest well mamaNakadori🙏
 
Pole sana Mleta uzi na M'Mungu azidi kukutia nguvu.

Kila wakati unapoweza omba kwa imani yako ili uweze kuipokea na kuikubali hiyo hali na naamini ipo siku utarudia hali ya kawaida.
 
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole sana ndugu utakua sawa... Msiba hauzoeleki na pia hakuna neno laweza kuuponya moyo wako, utakua sawa vile muda inavyozidi kuendelea
 
Wapendwa asanteni...ila spo vzur. Mniombee
Pole Sana. Mungu ni mwema, utakua sawa tu. Je, ilikua ni ghafla tu au aliumwa?
Ni ngumu sana mtu kuambia utazoe na ukamwelewa maana kila mtu ana jinsi yake ya kuomboleza.
Omba Mungu akujalie faraja yake na ukubaliane na hicho kifo
 
Pole sana,itachukua muda kuzoea.
Ila
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
 
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Aiseee...hakuna anayeweza kuelewa uchungu wa msiba wa mzazi Ila yule tu aliyefiwa na mzazi. Pole Sana.
 
bila shaka wewe ni KE,
By the way,vipi kama kungekuwa na chance wewe ufe kwa niaba yake je ungekubali??

Najua jibu ni No,basi take aesy kifo ni mzunguko Leo yeye kesho kwako.
It's not a thing to say, specially to this situation.
 
Pole...msiba wa mzazi kilio chake hakina mwisho. Jikaze jitahidi kuishi na hiyo Hali.
Mimi ni miaka 10 tangu tumzike Baba Ila kila siku nauona msiba mpya, muda mwingine mume akinizingua nawaza Baba angu angekuwepo huyu asingenichezea, nalia upya....pole
 
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole sana dear. Mungu Atakupa nguvu.
 
Pole sana dada. Mungu yeye pekee ndio faraja yetu. Pia kumbuka hapa duniani hatuna mji udumuo bali twautazamia ule ujao.

Kama ulikuwa mtu wa maombi na sifa ongeza muda zaidi wa kumwambudu Mungu na kama hakuwa na ratiba hiyo basi tenga muda wa kutosha kuimba, kusifu na kuabudu kwa kushirikiana na wenzako kanisani au fellowship.
Zaburi 23:1-6 iwe ni wimbo wako daima. Mungu atakuvusha.
 
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom