Pole Sana mkuu jitahidi kusali Sana R.i.p mama yetu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Habari zenu?
Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.
Mniombee haya mapito nipite salama.
Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole sana. Ni huzuni lakini hakuna la kufanya. Ila dunia ya sasa kuna watu wengine vifo vya wazazi/wenza wao ni furaha yao japo hawaonyeshi kwa wazi. Kuna dada mmoja baba yake alikuwa na fremu za kupanga. Ikawa kwa bahati mbaya yule baba alikuwa mtu wa kilevi sana. Basi yule dada kila siku alikuwa anaombea baba yake afe kabla hajauza zile fremu. Na kweli siku aliyokufa yule baba, mwadada alifurahi sana sana.Habari zenu?
Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.
Mniombee haya mapito nipite salama.
Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole rafiki mungu akupe nguvu na uvumilivu,taratibu sana utazoea hata mm nilimpoteza mama yangu,2019 ilinichukua karibu miezi mitatu,kila siku naumwa na machozi haya kuniisha,kila niki mkumbuka hata kama nipo safarini machozi yalinitoka hiyo habari ki ukweri kabisa isikie kwa mwenzako tu.Habari zenu?
Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.
Mniombee haya mapito nipite salama.
Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole Sana. Mungu na akutie nguvu. Amen.Wapendwa asanteni...ila spo vzur. Mniombee
msahau tu hakuna namna, u better get out from that caurgeHabari zenu?
Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.
Mniombee haya mapito nipite salama.
Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole sana Nakadori nimapito achia moyo lia vyakutoshaHabari zenu?
Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.
Mniombee haya mapito nipite salama.
Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole sana kwa mapitio magumu, Mungu atakuinua na uyasahau magumu unayopitiaHabari zenu?
Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.
Mniombee haya mapito nipite salama.
Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Mwenyezi Mungu akutie nguvu..pole sana.Habari zenu?
Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.
Mniombee haya mapito nipite salama.
Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]