hellefay
Senior Member
- May 16, 2018
- 116
- 204
Pole sana mpendwa,jipe moyo mkuu Mungu anaweza.Binafsi miaka nane iliyopita nilifiwa na mume baada ya kukaa kwenye ndoa miaka miwili tu.Akaniachia mtoto mdogo wa miaka miwili kamili na wakt huo nlikua kwenye 20's.Nilichanganyikiwa kabisa hadi nikawekwa kwenye uangalizi ndani ya mwaka mmoja.
Bado sijasahau na haipit mwez bila kumlilia na kumkumbuka.MUNGU AENDELEE KUKUTUNZA.KIFO NI NJIA YETU SOTE.
Bado sijasahau na haipit mwez bila kumlilia na kumkumbuka.MUNGU AENDELEE KUKUTUNZA.KIFO NI NJIA YETU SOTE.