Nimemzika na mama mzazi

Nimemzika na mama mzazi

Mine is alive ila ningekubali. Nikiwafikiria wadogo zangu naona nimeshafaidi vya kutosha kuliko kuwaona wakiteseka bila Mama. Hakuna kama mzazi awe Mama au Baba

Mpe neno la faraja kuliko kumletea porojo za mabadilishano ya vifo. Kila mtu ana style yake ya kuomboleza
bila shaka wewe ni KE,
By the way,vipi kama kungekuwa na chance wewe ufe kwa niaba yake je ungekubali??

Najua jibu ni No,basi take aesy kifo ni mzunguko Leo yeye kesho kwako.
 
Pole sana hiyo ndo mitihani ya maisha ya dunia wote tutaondoka haina namna miaka 200 iliyopita hatukuwepo na miaka 200 ijayo hatutakuwepo
Cha msingi usikae peke yako jichanganye na marafiki upate muda wa kubadilishana mawazo
 
Habari zenu?
Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi.... mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.
Mniombee haya mapito nipite salama.
Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole sana Nakadori,Kila jambo linalotokea ktk maisha yetu huwa lina makisudi fulani.Fahamu kuwa MUNGU wetu ni mwema sana na huwa anatuwazia mema daima.Hivyo jipe Moyo muombe MUNGU akupe nguvu na uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu.
 
Alivyokuwepo mama yangu nilikuwa nikipata Mia mbili namtumia. Leo hayupo nikikosa Mia mbili nalia Bora mama angekuwepo wakati pengine asingenisaidia kupata iyo Mia mbili. Ila machozi yanatoka balaa. Ni mwaka Ila ni Kama Jana.
Mwenzako ni karibuni hivyo kwaka uni za kisaikolojia bado moyo unaendelea kupumua uchungu taratibu utaisha, ila wewe kuna vicious circle umeizalisha kwa kuunganisha matukio ambayo itakuletea madhara, uchungu sharti uwe na ukomo kwa afya ya akili, sio mwaka mzima unalilia awe ni marehemu ama mpenzi aliyekusaliti,
 
Wapendwa asanteni...ila spo vzur. Mniombee
Mungu akutie nguvu na kukuganga majeraha!!! Kufiwa na mzaziii!!! Hii kitu usikie tuu [emoji24][emoji24][emoji24] Wengine tulipata hali hii tukiwa wadogoo sanaa!!! Ila Mungu analeaa!!!
 
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
Pole sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom