Nimemzika na mama mzazi

Nimemzika na mama mzazi

Nakadori

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,779
Reaction score
21,061
Habari zenu?

Sikia tu kwa mtu nimemzika mama angu siku kadhaa zilizopita. Hii hali inayonipata siielewi, mikono inatetemeka, moyo unauma, kichwa kinauma sana, miguu haina nguvu n.k n.k.

Mniombee haya mapito nipite salama.

Haijalishi umeniacha bado nakupenda sana mama yangu kipenzi.[emoji24]
 
Pole mdogo wangu, jipe moyo mkuu utayashinda. Mwombe sana Mungu akutie nguvu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom