Nimemuachia bill mchunaji

Nimemuachia bill mchunaji

Sasa huyu first date tu kuona shosti kakimbia. Anajuaje kama huyu ndio asingechangia? Hajakaa na mdada wa watu walau mara mbili ttu akamsoma tabia? Yeye ndio kakimbia kulipa. Angeweka mezani share yake ya bill kabla hajatoroka
madem wa bongo wahajui kitu kinaitwa kusplit the bill...yaani inakula kwako mkuu ...sasa angalia mtoto Wa kike metabolism ya mwili ndogo unakula kuku mzma utadhani umetoka kubeba zege
 
Nani aliemuambia mtoa mada kuwa dada asingechangia bill? Kwa sababu it seems hata hamjui huyo mdada.

Halafu mwanaume anaewaza kama wewe sidhani kama anapaswa kuoa aisee. Maisha haya, kuna mshkaji anaishi na mama wa mkewe na dada zake wawili. Maisha yamewagonga huko na mama ni mgonjwa, kuhudumia nyumba mbili gharama. Sasa kama first date tu unawaza bill, ukiona ndugu za mke si utakimbia? Linalokuepuka lina kheri na wewe
Naona wadada mwateteana kwa huu upuuzi

Nikupigie simu uje wewe kama wewe unaniletea mijitu hainihusu

Wewe ukila hata laki ntalipa manake nakuwa nahudumia mgodi ambao one day utatema madini!

Haya kuhusu shosti wako uliyemkokota ukaja naye inakuwaje sasa!

Umefanya vizuri sana kaka mkubwa
 
Sasa huyu first date tu kuona shosti kakimbia. Anajuaje kama huyu ndio asingechangia? Hajakaa na mdada wa watu walau mara mbili ttu akamsoma tabia? Yeye ndio kakimbia kulipa. Angeweka mezani share yake ya bill kabla hajatoroka

mdada mmoja alinifuata akaniambia atanipa offer ya lunch somewhere, tukaenda siku hiyo bili imekuja ananipa nilipe, nilishangaa sana.
 
Mie nilishaambiwa natolewa out ya besdei. Tena mkaka ndugu yangu wa karibu msomi tu kila siku anaenda vacations. Kachagua sehemu elegant. Bill imekuja akaipotezea nikalipa tu kiroho swafi.

Kulipa bill sio issue.
mdada mmoja alinifuata akaniambia atanipa offer ya lunch somewhere, tukaenda siku hiyo bili imekuja ananipa nilipe, nilishangaa sana.
 
spot on!,......Watu watamlaumu mtoa Mada na kumwita cheap, I don't think it's about money na hata kama inge kuwa ni pesa mtu unazo but unalipa unwillingly, haya mapenzi ya kibongo ya kwenda date sijui wanaita appointment na mtu mi huwa sielewi, unaendaje date na mtu?!!, hivyo si inatakuwa kuwa private?!!
Na kama issue ni kuogopa kubakwa/kuuwawa, why go in the first place?!, sa rafiki yako mwenye nguvu kama wewe ndo wakusaidia?!!
Si nenda na bodyguard basi tujue moja!


Umefikiri kama mimi, money isn't an issue here. Tatizo ni miadi ya watu wawili tena wa kimapenzi, potelea mbali kama ingekuwa mambo mengine sioni shida...!
 
Lakini hata nyie wadada mmmmh...!
1. Kutafuna 'kuku mzima'..a full chicken...mweh!! Kwani hujala tangu jana?..wabeba zege nao watafune kuku wangapi?
2. Umeitwa "date" ya wawili...it's a date for goodness sake, rafiki wa nini? Kama ingekuwa ni kawaida tu unakutana na rafiki yako sio issue wala nini..!
Hata mimi ningetimua, lakini ningelipia bill ya lil mlichoagiza ndio niondoke...!
 
Mie nilishaambiwa natolewa out ya besdei. Tena mkaka ndugu yangu wa karibu msomi tu kila siku anaenda vacations. Kachagua sehemu elegant. Bill imekuja akaipotezea nikalipa tu kiroho swafi.

Kulipa bill sio issue.

Swadakta.
Nataka nikutoe out samakisamaki. Bill tutafanya kama utamaduni wako ulivyo
 
Asa kuku gani bill ije $29,000......?

unakimbiaje kidate cha siku ya kwanza kisa mtu kaja na rafiki yake na ka bill kenyewe tsh 29,000...kama ingekuwa ni mara ya pili ama ya tatu uyo duu kafanya ivyo ningesema ni tabia yake
 
kuna watu mabwege kweli..mnamchekamskaji mnafikiri uhona honhga ni sifa...alf washika pembe ndo mara nyingi yanaongaga sana
 
Mie siogopi bill platozoom, kazi ya hela ni matumizi bwana. Issue ni je, nataka mtoko na wewe? Hebu anza kunihamasisha
Swadakta.
Nataka nikutoe out samakisamaki. Bill tutafanya kama utamaduni wako ulivyo
 
Last edited by a moderator:
unakimbiaje kidate cha siku ya kwanza kisa mtu kaja na rafiki yake na ka bill kenyewe tsh 29,000...kama ingekuwa ni mara ya pili ama ya tatu uyo duu kafanya ivyo ningesema ni tabia yake


Sidhani kama tatizo ni shs ngapi bill, tatizo ni kukiuka miadi. Unaweza kuona ni kitu simple lakini most chicks in Tz have this habit. Ni date ya wawili na sio outing ya marafiki, lazima uone tofauti kiongozi....!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom