Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,837
- 6,281
Hamna kitu kinacho nikera kama umemtoa out kwa mara ya kwanza ana agiza kuku 2 moja anasema Mama yake anapenda sana kuku so anamfungia!
Mara 3 imenitokea hii
pole sana umechunwa buree
Hamna kitu kinacho nikera kama umemtoa out kwa mara ya kwanza ana agiza kuku 2 moja anasema Mama yake anapenda sana kuku so anamfungia!
Mara 3 imenitokea hii
Ahahahahaua mkuu umenikumbusha mbali sana,wakija sehemu ya appointment wala hawaulizi una bei gani
Akaagiza kuku nzima,chips,savanah 3 then akaagiza urojo na baadae savanah zingine 3
Kabla hatujaanza hata mazungumzo akamuambia Mangi kuku ingine afunge,then akaagiza mtori na baadae kababu .
Hapo ikabidi nimuambie ukweli ukiagiza kingine utalipa mwenyewe maana pesa niliyokuja nayo imebaki nauli ya bodaboda tu!
Akachukia sana kuanza kupaka mbovu hata mazungumzo hayakufanyika!
Hadi nimeona aibu Mwanaume unakimbia bill 29000 kweli???????
mbona kama hayo mahesabu hayaji
Hahahahahhaa....umewaza kama mimi
Lakini tuchukulie ni uswahilini kimtindo
Kuku mmoja Tshs 10,000*2=20,000
Heinekein 2*3500=7,000
Total 27,000
Ila huyu naye kazidi...elfu 29,000 unakimbia...basi ato.m.be mbuzi
akikamatwa na mbuzi haki za wanyama zitambana .... jamaa bahili sana
ni Tsh 29,000/= ama $29,000/=
Ndo ukute hata Nauli hawakuwa nayo...More interesting...
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.
Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.
Unakimbia 29,000/=,
Unatongoza wa nini kama huna ubavu.
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.
Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.
Mimi kinachoniboa sio bill ila ni ile kukosa nafasi ya kuongea mambo yetu, sasa unapokuja na mtu inamaana hutaki tuongee mambo yanayotuhusu sisi kama wapenzi, au unabana nisikutongoze.
Na ukiona dem anakufanyia hizo mambo ujue huwezi kumpata, atakuzungusha huku anakula vyako, dawa ni kujitoa mapema.
Kwa hiyo nikiacha kulipa bill ni kwa sababu nimeona sina changu na siwezi kuliwa bure (naliwa bila kula), ila kama ni dem wangu na vyombo napataga sioni tatizo yeye kuja na rafiki yake japo sio kila mara.
Mimi kinachoniboa sio bill ila ni ile kukosa nafasi ya kuongea mambo yetu, sasa unapokuja na mtu inamaana hutaki tuongee mambo yanayotuhusu sisi kama wapenzi, au unabana nisikutongoze.
Na ukiona dem anakufanyia hizo mambo ujue huwezi kumpata, atakuzungusha huku anakula vyako, dawa ni kujitoa mapema.
Kwa hiyo nikiacha kulipa bill ni kwa sababu nimeona sina changu na siwezi kuliwa bure (naliwa bila kula), ila kama ni dem wangu na vyombo napataga sioni tatizo yeye kuja na rafiki yake japo sio kila mara.
Hamna kitu kinacho nikera kama umemtoa out kwa mara ya kwanza ana agiza kuku 2 moja anasema Mama yake anapenda sana kuku so anamfungia!
Mara 3 imenitokea hii
Ahahahahaua mkuu umenikumbusha mbali sana,wakija sehemu ya appointment wala hawaulizi una bei gani
Akaagiza kuku nzima,chips,savanah 3 then akaagiza urojo na baadae savanah zingine 3
Kabla hatujaanza hata mazungumzo akamuambia Mangi kuku ingine afunge,then akaagiza mtori na baadae kababu .
Hapo ikabidi nimuambie ukweli ukiagiza kingine utalipa mwenyewe maana pesa niliyokuja nayo imebaki nauli ya bodaboda tu!
Akachukia sana kuanza kupaka mbovu hata mazungumzo hayakufanyika!
hehehe!,........mkuu umemaliza
Labda mbeba vyuma.......lol!
mkuu kuku mzima mzima 20000@ 10000 each heineken 2 8000@ 4000 [minimum assumptions] each. lets say rafiki yako alijilipia bili mwenyewe after coming see you{which is rude anyway}. inabaki buku kwenye bili... ina maana umekimbia bili ya bia moja moja afu na wewe ulikunywa nini cha buku[togwa?]