Nimemuachia bill mchunaji

Nimemuachia bill mchunaji

Hamna kitu kinacho nikera kama umemtoa out kwa mara ya kwanza ana agiza kuku 2 moja anasema Mama yake anapenda sana kuku so anamfungia!

Mara 3 imenitokea hii

pole sana umechunwa buree
 
Ahahahahaua mkuu umenikumbusha mbali sana,wakija sehemu ya appointment wala hawaulizi una bei gani

Akaagiza kuku nzima,chips,savanah 3 then akaagiza urojo na baadae savanah zingine 3

Kabla hatujaanza hata mazungumzo akamuambia Mangi kuku ingine afunge,then akaagiza mtori na baadae kababu .

Hapo ikabidi nimuambie ukweli ukiagiza kingine utalipa mwenyewe maana pesa niliyokuja nayo imebaki nauli ya bodaboda tu!

Akachukia sana kuanza kupaka mbovu hata mazungumzo hayakufanyika!

bora kununua tu kumbe..
 
Hadi nimeona aibu Mwanaume unakimbia bill 29000 kweli???????

Hujamuelewa mtoa mada...ishu sio elfu 29 ishu ni tabia ya kubebana na wenzake wakati appointment ilikua yake alone

Halafu hutoi taarifa
 
mbona kama hayo mahesabu hayaji

Hahahahahhaa....umewaza kama mimi

Lakini tuchukulie ni uswahilini kimtindo

Kuku mmoja Tshs 10,000*2=20,000
Heinekein 2*3500=7,000

Total 27,000

Ila huyu naye kazidi...elfu 29,000 unakimbia...basi ato.m.be mbuzi
 
Hahahahahhaa....umewaza kama mimi

Lakini tuchukulie ni uswahilini kimtindo

Kuku mmoja Tshs 10,000*2=20,000
Heinekein 2*3500=7,000

Total 27,000

Ila huyu naye kazidi...elfu 29,000 unakimbia...basi ato.m.be mbuzi

akikamatwa na mbuzi haki za wanyama zitambana .... jamaa bahili sana
 
hahahahah this is too funny. Ila mkuu ungewalipia tu au we ulikuwa na bajeti gani kwa huo mtoko.
 
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.

Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.

Chang'ombe ya dar au ya dodoma? Ni hatari, kuku mzima anamaliza!!
 
Mkuu,naomba video yako wakati unatoroka utuwekee hapa JF.Twaweza jifunza kitu.Nacheeeka ajabu!
 
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.

Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.

pesa ilikuwa ya kutosha according to u sasa unakimbiaje 29elfu mkuu au me naona labda laki mbili na 29 afu swala la kubebea ***** ni la kawaida coz ukishakubali kuolewa ukubali kulala bila nguo yule mkweo kuku wa 10,000 kitu gani???????
 
Mimi kinachoniboa sio bill ila ni ile kukosa nafasi ya kuongea mambo yetu, sasa unapokuja na mtu inamaana hutaki tuongee mambo yanayotuhusu sisi kama wapenzi, au unabana nisikutongoze.

Na ukiona dem anakufanyia hizo mambo ujue huwezi kumpata, atakuzungusha huku anakula vyako, dawa ni kujitoa mapema.

Kwa hiyo nikiacha kulipa bill ni kwa sababu nimeona sina changu na siwezi kuliwa bure (naliwa bila kula), ila kama ni dem wangu na vyombo napataga sioni tatizo yeye kuja na rafiki yake japo sio kila mara.

spot on!,......Watu watamlaumu mtoa Mada na kumwita cheap, I don't think it's about money na hata kama inge kuwa ni pesa mtu unazo but unalipa unwillingly, haya mapenzi ya kibongo ya kwenda date sijui wanaita appointment na mtu mi huwa sielewi, unaendaje date na mtu?!!, hivyo si inatakuwa kuwa private?!!
Na kama issue ni kuogopa kubakwa/kuuwawa, why go in the first place?!, sa rafiki yako mwenye nguvu kama wewe ndo wakusaidia?!!
Si nenda na bodyguard basi tujue moja!
 
Mimi kinachoniboa sio bill ila ni ile kukosa nafasi ya kuongea mambo yetu, sasa unapokuja na mtu inamaana hutaki tuongee mambo yanayotuhusu sisi kama wapenzi, au unabana nisikutongoze.

Na ukiona dem anakufanyia hizo mambo ujue huwezi kumpata, atakuzungusha huku anakula vyako, dawa ni kujitoa mapema.

Kwa hiyo nikiacha kulipa bill ni kwa sababu nimeona sina changu na siwezi kuliwa bure (naliwa bila kula), ila kama ni dem wangu na vyombo napataga sioni tatizo yeye kuja na rafiki yake japo sio kila mara.




Hyo ndo maanake mkuu,,,,,wajulishe.
 
Hamna kitu kinacho nikera kama umemtoa out kwa mara ya kwanza ana agiza kuku 2 moja anasema Mama yake anapenda sana kuku so anamfungia!

Mara 3 imenitokea hii

Hahaaaaaa!,
 
Ahahahahaua mkuu umenikumbusha mbali sana,wakija sehemu ya appointment wala hawaulizi una bei gani

Akaagiza kuku nzima,chips,savanah 3 then akaagiza urojo na baadae savanah zingine 3

Kabla hatujaanza hata mazungumzo akamuambia Mangi kuku ingine afunge,then akaagiza mtori na baadae kababu .

Hapo ikabidi nimuambie ukweli ukiagiza kingine utalipa mwenyewe maana pesa niliyokuja nayo imebaki nauli ya bodaboda tu!

Akachukia sana kuanza kupaka mbovu hata mazungumzo hayakufanyika!

hehehe!,........mkuu umemaliza
Labda mbeba vyuma.......lol!
 
Hahaha huu uzi ngoja nianzie mwanzo kabisaa ili nicheke uzuri. Ndo shida ya mapenzi ya mtandaoni hayo, mahali pekee pa kukutana ni bar. Hahaha
 
Chang'ombe huko inawezekana wanauza kuku mzima buku 6. Daslama ina mengi mkuu. Cha msingi elewa jamaa ni mjanja kakimbia bili hadi ya kwake mwenyewe. Alijua siku ya kwanza tu anachinja
mkuu kuku mzima mzima 20000@ 10000 each heineken 2 8000@ 4000 [minimum assumptions] each. lets say rafiki yako alijilipia bili mwenyewe after coming see you{which is rude anyway}. inabaki buku kwenye bili... ina maana umekimbia bili ya bia moja moja afu na wewe ulikunywa nini cha buku[togwa?]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom