angelita
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 3,017
- 2,445
na genge linaendelea kushangilia, maisha yanasonga
Umeonaaa eeeeh haya piga makofi
na genge linaendelea kushangilia, maisha yanasonga
unasema ndogo unajua kipato chake au unasema kujifurahisha.
Hapo kaenda kwa bei rahisi kakimbia, je akienda zile sehemu viwango itakuwaje mana hiyo 29,000 ni bei ya maji bado chakula na vinywaji.
Naona wadada mwateteana kwa huu upuuzi
Nikupigie simu uje wewe kama wewe unaniletea mijitu hainihusu
Wewe ukila hata laki ntalipa manake nakuwa nahudumia mgodi ambao one day utatema madini!
Haya kuhusu shosti wako uliyemkokota ukaja naye inakuwaje sasa!
Umefanya vizuri sana kaka mkubwa
acheni kuigiza 29000 ndogo? hapo mwenyewe utakuta unalipwa 150000 Kweli maisha bila unafiq hauendi.
We jamaa sio mwanaume wewe yaan ka bill kadogo tu hako ume sepa?Sasa ungekutana na papuchi kila bao laki si unge kufa wewe!!!
halafu walivyo na mashauzi, wanadonoa na kuacha kuku kama alivyo
CC nilidhani na wewe bibie ndo zako ili tukuogope kama ukoma, kumbe ndivyo sivyo!hahahah imenibidi nicheke pia kwahiyo wachang'ombe ndio wachunaji?...... very interesting
Hahahahaha!!! Shauri yako mkono mtupu haulambwi watoto wazuri utawala Kwa macho....
However it should be in good faithsharing is caring !
Naona wadada mwateteana kwa huu upuuzi
Nikupigie simu uje wewe kama wewe unaniletea mijitu hainihusu
Wewe ukila hata laki ntalipa manake nakuwa nahudumia mgodi ambao one day utatema madini!
Haya kuhusu shosti wako uliyemkokota ukaja naye inakuwaje sasa!
Umefanya vizuri sana kaka mkubwa
na huyo mwenzake unamuwekea siku yake, unamgegeda. huwa wanazungukana mkuu.
Nakumbuka niliwahi kutoka na mdada mmoja hivi maeneo ya makumbusho....
Kwanza kabla hatujafika eneo la tukio nilimwambia live kuwa mfuko mfupi...kwa hiyo mbwembwe na mashauzi sitaki...akasema poa...
Mzee kufika pale maeneo mtoto wa kike kabla maongezi akaagiza heinken..nikasema leo kazi ipo..ikabidi mzee niagize pepsi bariiiiidi ili kuenda sawa na salio mfukoni...huku moyo unanienda mbio mara mtu wa jikoni huyo kaja utadhani kaitwa...anauliza oooh! niwahudumie nini...dah mtoto wa kike kike akaagiza kuku mzima na chipsi...duuh nikachoka kabisa....ikabidi mzee nivunge kuwa nimeshiba...wakati tunaendelea na maongezi kila saa simu yake iko bize kama custmer care.....huku kuku anamla kwa kumdonoa donoa kama mwewe....kabla hatujafikia muafaka ghafla naona simu yake inaita na yakafuatia maongezi kama ya dakika kumi hivi...mwisho wa maongezi ya simu nikaambiwa amepata dharula kwa hiyo anatakiwa aende...dahh!!...nikasemea kimoyo moyo ndio nishaliwa hivyo...ikabidi nimruhusu...
Roho iliniuma sana kumtazama kuku mzima alivyo donolewa ikabidi nichukue mfuko laini nimfunge nikalie ugali nyumbani...wanawake kweli majanga...
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.
Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.
:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:Umeonaaa eeeeh haya piga makofi