mnyepe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2008
- 1,907
- 660
Kuku mzima? Hahaha hao watakua na njaa ya mwazo lol
Hawa kuku wa kisasa mbona hata binti yangu anamaliza kabisa
Kuku mzima? Hahaha hao watakua na njaa ya mwazo lol
Hawa kuku wa kisasa mbona hata binti yangu anamaliza kabisa
Mimi kinachoniboa sio bill ila ni ile kukosa nafasi ya kuongea mambo yetu, sasa unapokuja na mtu inamaana hutaki tuongee mambo yanayotuhusu sisi kama wapenzi, au unabana nisikutongoze.
Na ukiona dem anakufanyia hizo mambo ujue huwezi kumpata, atakuzungusha huku anakula vyako, dawa ni kujitoa mapema.
Kwa hiyo nikiacha kulipa bill ni kwa sababu nimeona sina changu na siwezi kuliwa bure (naliwa bila kula), ila kama ni dem wangu na vyombo napataga sioni tatizo yeye kuja na rafiki yake japo sio kila mara.
Hahahahah unamsingizia bwana hao watakua si kuku ni njiwa lol
Hamna kitu kinacho nikera kama umemtoa out kwa mara ya kwanza ana agiza kuku 2 moja anasema Mama yake anapenda sana kuku so anamfungia!
Mara 3 imenitokea hii
Ahahahahaua mkuu umenikumbusha mbali sana,wakija sehemu ya appointment wala hawaulizi una bei gani
Akaagiza kuku nzima,chips,savanah 3 then akaagiza urojo na baadae savanah zingine 3
Kabla hatujaanza hata mazungumzo akamuambia Mangi kuku ingine afunge,then akaagiza mtori na baadae kababu .
Hapo ikabidi nimuambie ukweli ukiagiza kingine utalipa mwenyewe maana pesa niliyokuja nayo imebaki nauli ya bodaboda tu!
Akachukia sana kuanza kupaka mbovu hata mazungumzo hayakufanyika!
Ukimwangalia ni mrembo sana,kwa kweli kaumbika ila tabia sio nzuri!Nilikutana nae uwanja wa Taifa Yanga na Simba!
Hapo nimesahau kutaja mayai 2 na chokistiki maana pia aliagiza ehehehehehe
Wallah ni kama vifarangaa tu.
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.
Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.
Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.
Umefanya vizuri sana mkuu ukute na nauli walikua hawana mzee
Mie siogopi bill platozoom, kazi ya hela ni matumizi bwana. Issue ni je, nataka mtoko na wewe? Hebu anza kunihamasisha
Kuku mzima? Hahaha hao watakua na njaa ya mwazo lol
Kuwa sensible bwana kuku 2 bongo unaongelea midola hiyo!ni Tsh 29,000/= ama $29,000/=
Ngoja nipitie thread na post zako, nafanya analysis na visibility study kwanza.
Ila kama Msambaa....si haba...!!