RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,806
- 129,655
Ile kama sikosei ilikuwa kuona na si kukutana...nakumbuka nilisema sijawahi kuona....
sawa boss...unakutana nao tu ila huwaoni!!
Ile kama sikosei ilikuwa kuona na si kukutana...nakumbuka nilisema sijawahi kuona....
Wajinga washazoea wanafunzi wa sekondari, sie watu wazima huwa tunahakikisha mfuko unasoma ukizingua sina habare naendelea kula raha.
Kuku hula sawa na mdomo wakeKwa vile ume zoea vya rahisi huwezi jua nenda Casino za kueleweka uka kutane na malaya wa kimataifa!
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.
Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.
jamani hapo ndo kwanza tu walikuwa wameanza kwa hiyo kama jamaa asingesepa yangekuwa mengine,yaani hiyo ilikuwa ile wanayoita starter.haaaa!starter kuku mzima!!!Hadi nimeona aibu Mwanaume unakimbia bill 29000 kweli???????
Kwa nyie wenye hela za mawazo kubwa sikatai, ila mkome kuparamia vitu msivyo na uwezo navyo.
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.
Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.
Kwikwikwikwiwi napata picha walivyoshtuka kwamba umesepa lol!!!
Wenyewe huita 'buzi limekata kamba' teh teh teh teh.
Utapiga Sana nyeto kwa staili hii kijana.