Nimemkopesha hela ila anasema tumalizane

Nimemkopesha hela ila anasema tumalizane

UUkiendelea kufuatilia hyo 3,500 yako utaonekana mjinga na kumbuka bure,, kataa offer Yake na umuachie hiyo hela.
 
Za asubuhi, ni jirani yangu huyu na si mara ya kwanza mimi kumkopesha hela. Nimemkopesha jumla ya 15,000 kwa nyakati tofauti na zote hulipa.

Hii ya sasa 3,500 anasema hana, na ukizingatia mimi nilikuwa na shida nayo sana hiyo hela ili niitumie kwenye matumizi yangu. Ananiambia aje nyumbani au nitafute nyumba ya wageni tukamalizane na nisimdai tena. Nashindwa kuwaelewa wanawake, uaminifu siku hizi hakuna kabisa.

Na magonjwa haya ya siku hizi, naomba nipewe njia sahihi za kuipata hela yangu pasipo kumuumiza au kumkwaza.

Nilitaka kusamehe ila moyo unaniuma mno.
We nenda kamalizane nae kama unasusa bora ususe😂😂😂
 
hapo ulipotaja kwamaneno kabisanaona jinsi ulivyo ichukulia. Tuache utani lakini watu hawana pesa mtaani.
Naelewa mkuu😅😅, nimeandika kwa maneno maana mtu ukisoma haraka haraka unaweza ona ni 35,000
 
Za asubuhi, ni jirani yangu huyu na si mara ya kwanza mimi kumkopesha hela. Nimemkopesha jumla ya 15,000 kwa nyakati tofauti na zote hulipa.

Hii ya sasa 3,500 anasema hana, na ukizingatia mimi nilikuwa na shida nayo sana hiyo hela ili niitumie kwenye matumizi yangu. Ananiambia aje nyumbani au nitafute nyumba ya wageni tukamalizane na nisimdai tena. Nashindwa kuwaelewa wanawake, uaminifu siku hizi hakuna kabisa.

Na magonjwa haya ya siku hizi, naomba nipewe njia sahihi za kuipata hela yangu pasipo kumuumiza au kumkwaza.

Nilitaka kusamehe ila moyo unaniuma mno.
Umekuja kutueleza ili tukushauri?

Soma kwa kutulia
 
Back
Top Bottom