Nakazia hapa.Mkuu tumia fursa yako kwa hiyo tunu uliyotunukiwa
Kweli aisee, anaweza kwenda kutumia zaidi ya hiyo, wakati shida yake ilikua 3,500.Mkuu dai hela yako. Au nipe hiyo kazi mimi. Yaani ukalipe lodge elfu 20 au zaidi kisa kuilipa 3500?
TshsMkuu hiyo ni dollar au Tsh?
Tuhela ndo maana yake niini? Mimi najua hela tu.Akili za battery low kazi sana,
Uto tuhela ndo twakuja kutuanzishia Uzi hapa
Ni ngumu,,thats businessUna buku ten nikupe odds 10 upate laki hio samehe alooo..kuwa gentle man
Sitoweza,sina guts hizowewe kama 3500 inakutoa rohoo ukimlaa atahitaji kubwa zaidi za matumizi sasa sijui utawezaa..
Mkuu muengeze na 6500 zitimie 10,000/- kisha muombe kinyeo. Fursa kama hizo hua nazitafuta sana kwa kweli.



3.5kNi 3,500/- (elfu tatu mia tano) tu iliyokuleta huku au ni 350,000/-?
Hiyo hiyo 3,500. Unajua hata mie mhudumu akinihudumia, napenda anirudishie chenji yangu kamili ndio niamue kumpatia tip, sitaki ajipe yeye juu Kwa juu. Na usiponiletea hata kama ni 200 au 500 ntaidai na kuisubiria Hadi unipe haijalishi utajizungusha kiasi Gani.Ni 3500. Elf tatu na Mia tano
Moyo unaniwia mzito mno kuiachia hela yangu
