Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,578
- 94,879
😅😅😅 makonakona hayafaiKwamba na hana makonakona mengi, yupo kama Evelyn Salt
😅😅😅 makonakona hayafaiKwamba na hana makonakona mengi, yupo kama Evelyn Salt
We Huna akili ya kujiongeza!Ndio zenu hizo...,
Utasikia "nikopeshe elfu thelathini nakurudishia keshokutwa",
Badae papuchi ndo inakuwa bond ya kulipa deni.


Na atamkopa zaidi na halipi atamgeuza kitega uchumi. Hawa watu wana hesabu za mbali sana... Kitaalamu tunaweza sema jirani ashamfanyia calculated future movements...Potezea hiyo hela fanya mengine.
Jilani yako kutoka nae kimapenzi hautaacha maana atakuchanganya huko chumbani uwe unamkumbuka kila mara..Utapata shida badae.
Hana guts hizoNa atamkopa zaidi na halipi atamgeuza kitega uchumi. Hawa watu wana hesabu za mbali sana... Kitaalamu tunaweza sema jirani ashamfanyia calculated future movements...
Hiyo haipo aiseeFanya kama Sadaka.
Mtumie hata alfu mbili hapa na aje adhibitishe tuone Kama una jeuri iyo.3500 nayo