Nimemkopesha hela ila anasema tumalizane

Nimemkopesha hela ila anasema tumalizane

Hiyo hiyo 3,500. Unajua hata mie mhudumu akinihudumia, napenda anirudishie chenji yangu kamili ndio niamue kumpatia tip, sitaki ajipe yeye juu Kwa juu. Na usiponiletea hata kama ni 200 au 500 ntaidai na kuisubiria Hadi unipe haijalishi utajizungusha kiasi Gani.

Tukirudi kwenye hoja, kama huyo jirani alisema ana kopa, anatakiwa arudishe. Hiyo 3,500/- Kuna watu wanafanya kazi wanalipwa huo ujira Kwa siku. Utaona hapo tatizo sio kiwango Cha pesa ila ni utaratibu na nidham. Japo nashindwa kuamini kama mwanamke anaweza kusema watafutane na jamaa wayamalize kisa 3,500. Kutakua na shida mahali au tea
Yes upo sahihi. Huyo mwanamke ana yake mengine..hajashindwa kulipa 3500
 
Za asubuhi, ni jirani yangu huyu na si mara ya kwanza mimi kumkopesha hela. Nimemkopesha jumla ya 15,000 kwa nyakati tofauti na zote hulipa.

Hii ya sasa 3,500 anasema hana, na ukizingatia mimi nilikuwa na shida nayo sana hiyo hela ili niitumie kwenye matumizi yangu. Ananiambia aje nyumbani au nitafute nyumba ya wageni tukamalizane na nisimdai tena. Nashindwa kuwaelewa wanawake, uaminifu siku hizi hakuna kabisa.

Na magonjwa haya ya siku hizi, naomba nipewe njia sahihi za kuipata hela yangu pasipo kumuumiza au kumkwaza.

Nilitaka kusamehe ila moyo unaniuma mno.
Wacha upuuzi, msamehe tu hiyo, kama unaona vipi nenda kachukue sahani zake 2 kufidia hela yako badala ya kuleta humu upuuzi kama huu.
 
Za asubuhi, ni jirani yangu huyu na si mara ya kwanza mimi kumkopesha hela. Nimemkopesha jumla ya 15,000 kwa nyakati tofauti na zote hulipa.

Hii ya sasa 3,500 anasema hana, na ukizingatia mimi nilikuwa na shida nayo sana hiyo hela ili niitumie kwenye matumizi yangu. Ananiambia aje nyumbani au nitafute nyumba ya wageni tukamalizane na nisimdai tena. Nashindwa kuwaelewa wanawake, uaminifu siku hizi hakuna kabisa.

Na magonjwa haya ya siku hizi, naomba nipewe njia sahihi za kuipata hela yangu pasipo kumuumiza au kumkwaza.

Nilitaka kusamehe ila moyo unaniuma mno.
Sasa usichoelewa nini kuwa anataka akulipe kwa kutumia maumbile yake? Wewe vipi wa wapi wewe?
 
Back
Top Bottom