kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,871
- 4,155
Dah
Una buku ten nikupe odds 10 upate laki hio samehe alooo..kuwa gentle manZa asubuhi, ni jirani yangu huyu na si mara ya kwanza mimi kumkopesha hela. Nimemkopesha jumla ya 15,000 kwa nyakati tofauti na zote hulipa.
Hii ya sasa 3,500 anasema hana, na ukizingatia mimi nilikuwa na shida nayo sana hiyo hela ili niitumie kwenye matumizi yangu. Ananiambia aje nyumbani au nitafute nyumba ya wageni tukamalizane na nisimdai tena. Nashindwa kuwaelewa wanawake, uaminifu siku hizi hakuna kabisa.
Na magonjwa haya ya siku hizi, naomba nipewe njia sahihi za kuipata hela yangu pasipo kumuumiza au kumkwaza.
Nilitaka kusamehe ila moyo unaniuma mno.
Za asubuhi, ni jirani yangu huyu na si mara ya kwanza mimi kumkopesha hela. Nimemkopesha jumla ya 15,000 kwa nyakati tofauti na zote hulipa.
Hii ya sasa 3,500 anasema hana, na ukizingatia mimi nilikuwa na shida nayo sana hiyo hela ili niitumie kwenye matumizi yangu. Ananiambia aje nyumbani au nitafute nyumba ya wageni tukamalizane na nisimdai tena. Nashindwa kuwaelewa wanawake, uaminifu siku hizi hakuna kabisa.
Na magonjwa haya ya siku hizi, naomba nipewe njia sahihi za kuipata hela yangu pasipo kumuumiza au kumkwaza.
Nilitaka kusamehe ila moyo unaniuma mno.
Naomba hzo odds mkuuUna buku ten nikupe odds 10 upate laki hio samehe alooo..kuwa gentle man
Betpawa:82A07EDNaomba hzo odds mkuu
Kwani elfu tatu miatano sio hela?Njaa itakuua
Yaani elfu tatu mia tano (3,500) tu unaanzisha thread?????
Watoto waliomaliza la saba juzi wanatusumbua sana
NMECHEKAAAJoto limeanza, chai ya nini ?
na yeye ana matumizi nayomkuu na pia akimsameh roho itamuumaSi umsamehe tu mkuu elfu 3500 nayo kweli ukute ka kwama na wewe unaforce that way kkujibu hivyo.
Kwani unaogopa kumalizana nae?!Za asubuhi, ni jirani yangu huyu na si mara ya kwanza mimi kumkopesha hela. Nimemkopesha jumla ya 15,000 kwa nyakati tofauti na zote hulipa.
Hii ya sasa 3,500 anasema hana, na ukizingatia mimi nilikuwa na shida nayo sana hiyo hela ili niitumie kwenye matumizi yangu. Ananiambia aje nyumbani au nitafute nyumba ya wageni tukamalizane na nisimdai tena. Nashindwa kuwaelewa wanawake, uaminifu siku hizi hakuna kabisa.
Na magonjwa haya ya siku hizi, naomba nipewe njia sahihi za kuipata hela yangu pasipo kumuumiza au kumkwaza.
Nilitaka kusamehe ila moyo unaniuma mno
ha haaaa hawaendi loji wanafanyia homeMkuu dai hela yako. Au nipe hiyo kazi mimi. Yaani ukalipe lodge elfu 20 au zaidi kisa kuilipa 3500?
itakua zulma imejini aende ale wali kuku njegere spinach na juisi ya embe na maji ya baridi hapo si elfu 5 tayarmbinu ni nyepesi sana mkuuu. subiri ule muda wa mchana au usiku ule muda ambao unaamini chakula kitakuwa tayari wee unaenda kula then unaondoka.
unafanya hivyo kwa nyakati tofauti mpaka hela yako itakapoisha kabisa
kenda nyumba ya wageni sikushauri maana utajipaliii makaa maana hata yeye nyege zimemjaa anatafuta wakuzimaliza
Ndo kumalizana huko ambako bi dada anatakaa. pia hela imetengeneza ribaitakua zulma imejini aende ale wali kuku njegere spinach na juisi ya embe na maji ya baridi hapo si elfu 5 tayar