Nimemkopesha hela ila anasema tumalizane

Nimemkopesha hela ila anasema tumalizane

Mimi nawapa mpaka 30000 na hata namba zao za simu sometimes sichukui.
Wewe 3.5 tu unawavua chupi
🙄🙄🙄🙄🙄
Ila huo ndio ujanja, tusikubali kuliwa hovyo
 
Pole wanawake wengi siyo wa kuwawekea dhamana kwenye pesa.
 
Potezea Tu 🤣
Ila usimkopeshe mwanamke hamnaga mkopo Kati ya hao watu wawili.
Dah kumbe mnajijua watata ..et nikopeshe ngano kilo 4😂😂 halafu mnakuwaga wapole wakati wa mkopo.
 
Ni 3,500/- (elfu tatu mia tano) tu iliyokuleta huku au ni 350,000/-?
 
Za asubuhi, ni jirani yangu huyu na si mara ya kwanza mimi kumkopesha hela. Nimemkopesha jumla ya 15,000 kwa nyakati tofauti na zote hulipa.

Hii ya sasa 3,500 anasema hana, na ukizingatia mimi nilikuwa na shida nayo sana hiyo hela ili niitumie kwenye matumizi yangu. Ananiambia aje nyumbani au nitafute nyumba ya wageni tukamalizane na nisimdai tena. Nashindwa kuwaelewa wanawake, uaminifu siku hizi hakuna kabisa.

Na magonjwa haya ya siku hizi, naomba nipewe njia sahihi za kuipata hela yangu pasipo kumuumiza au kumkwaza.

Nilitaka kusamehe ila moyo unaniuma mno.
Ni 15000 au 150000 ndugu mwandishi?
 
Majirani kama hao huwa mnawapata wapi jameni, yaani yupo radhi kuruhusu mapaja yake kwa 3,500 za Tanzania.....
Wengine tuna majirani wa hovyo, full kununa haujui utaanzia wapi.
Penye miti....
 
Za asubuhi, ni jirani yangu huyu na si mara ya kwanza mimi kumkopesha hela. Nimemkopesha jumla ya 15,000 kwa nyakati tofauti na zote hulipa.

Hii ya sasa 3,500 anasema hana, na ukizingatia mimi nilikuwa na shida nayo sana hiyo hela ili niitumie kwenye matumizi yangu. Ananiambia aje nyumbani au nitafute nyumba ya wageni tukamalizane na nisimdai tena. Nashindwa kuwaelewa wanawake, uaminifu siku hizi hakuna kabisa.

Na magonjwa haya ya siku hizi, naomba nipewe njia sahihi za kuipata hela yangu pasipo kumuumiza au kumkwaza.

Nilitaka kusamehe ila moyo unaniuma mno.
Weka namba ya simu Mwanangu....18,500 Mimi nitakutoa....
 
Back
Top Bottom